Mkuu masopakyindi, Saba Sita yuko sahihi haswaaa!
Sema tulio wengi tunapenda kujidanganya kwamba duniani tupotupo sana!
Ndiyo maana baadhi yetu wakipata nafasi wanapora mali za uma.
Na kujilimbikizia mapesa mengi utadhani wana miaka 5000 hapa duniani. Huku wakiwaacha wenzao hohe hahe mzumgu...
Kwanza, niishukuru serikali ya mama Samia kwa kufanikisha mradi wa DMDP awamu pili ili kuboresha miundombinu ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Ambapo kutokana na ubovu wake imegharimu mali na maisha ya watu.
Kimsingi mimi ni mkazi anayehudumiwa zaidi na barabara ya Nyerere.
Ambapo barabara hii...
Sisi wananchi tu tunawashangaa Tazara,
vipi wageni wanajisikiaje?
Treni ilikuwa iondoke saa saba ila mpaka saa hizi wanatutangazia mpaka saa 12,
na hapo ni danadana tu zinaendelea.
Nimeambiwa ilifika jana kwa nini hayo matengenezo hayakufanyika hiyo jana? Au kuna hujuma?
Hapa wamejazana...
Mtake msitake, binadamu ni tofauti na mnyama, ambaye hutamkandamiza akubali siku zote.
Tulichokikataa kwa wazungu wachache wa Afrika ya kusini zamani;
hatutakifanya leo kikubalike popote!
Ubabe, maguvu siyo suruhu katika ulimwengu uliostaarabika!
Si-mnaona mataifa yenye nguvu yanavyoaibika...
Hoja yangu ni je BBC ni wakweli kiasi cha kuaminiwa na wenye akili timamu?
Ama, hawajawahi kudanganya kwa maslahi wanayoyajua wao? Tuanzie hapo kwanza.
Au wewe ndiyo mdogo kiasi cha kutojua janjajanja zao zilizopita?
Kwanza nikiri kuwa mimi siyo miongoni mwa walioikubali hudima ya TB Joshua, kwa sababu ya mapungufu mengi yaliyoambatana nayo!
Huenda hata hiki wanachokidai BBC kilikuwepo, au hata ni matatizo mengine tofauti.
Sasa tusiwe na akili finyu, eti kwa vile tulikuwa hatukubaliani na TB. Joshua, ndiyo...
Mimi pia sikubaliani na utapeli unaoendelea kwa baadhi yao. Lakini na wewe mwanasheria usiyejua madhara ya uhuru wa kuabudu; utatumia kigezo gani kujua huyu yuko sawa, huyu hapana?
Maisha yenyewe hayajaanza bado.
Hapa duniani tumekuja kwa muda mfupi, kupiga kura ya kumchagua Mungu au Shetani.
Na uzuri uchaguzi wa kila mtu utaheshimiwa sana!
Kuna mambo mawili nayaona kwako.
Mosi, huenda wewe ni muislam mwenye mbinu ya kuwanasa wakristo wachanga.
Pili, au kama ni mkristo, basi ni yule asiyejua ABC yake.
Kama ni huyo wa kwanza sawasawa; wee endelea na kazi ya kumtumikia shetani.
Lakini kama ni kweli ni mfuasi wa Yesu; ujue una jina...
Demokrasia tunayoifuata ni kuchagua kiongozi umtakaye katika mazingira yatakayoonesha kwamba ameshinda au kushindwa kihalali. Yaani haki ya mpigakura ionekane peupe, na kuheshimiwa na wadau wote.
Hilo ni muhimu kwani siku mpigakura nitakapogundua kwamba nipige au nisipige kura yangu yote ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.