Katibu wa Bunge amesema Hakuna haya ya kuzungumzia hoja ya katiba
ambayo ilitakiwa kuwasilishwa na Mbunge wa Ubungo Mhe John Mnyika kwa
sababu Serikali imeanza mchakato wa Katiba Mpya
Kuhusu suala la Dowans amesema kesi hiyo iko mahakamani kwahiyo Bunge
haliweza kuzungumzia suala hilo...
katika pita pita yangu,,,,,,. nimekutana na artical hii ya kimtazamo, imenigusa , nikaona niilete humu jamvini, kwani tunaweza kupata mawazo zaidi, kwani tunakoelekea ni kugumu zaidi....
THE INCUMBENT ENERGY SECTOR IN TANZANIA 2011-2015
Stakeholders in energy sector in Tanzania...
40 kuunda baraza jipya la mawaziri
BARAZA jipya la mawaziri linalotarajiwa kutangazwa wiki hii na Rais Jakaya Kikwete linatarajiwa kuwa na mawaziri kati ya 40 na 45, kati yao 23 wakiwa ni mawaziri kamili.Kwa maana hiyo, baraza hilo litakuwa na wizara 23 tu, Mwananchi imedokezwa.Habari ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.