Kabla ujanunua hilo gari ..chukua namba za gari nenda tra Zanzibar office zao zipo hapo mlandege..hapo utajua gharama zake alafu utajumlisha na gharama za kupakia kwenye meli mpaka dar.
Shuka makuyuni au nyuma yake kidogo kuna campsite nyingi hapo utapata madereva wengi wa tours.. ila kuwa mjanja kwenye kupatana kwa maana pesa yako ni posho ya dereva..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.