Inaelekea uko uninformed, na una utumwa wa kifikra na inaonekana wewe ni wale waru mna laumu wakoloni kwa nchi zetu kukosa maendeleo miaka 50+ ya uhuru.
Tatizo kubwa la watu wa aina yako wenye akili,ufahamu na weledi wa zaidi kidogo ya kawaida (above average) hujiona wanajua sana ilhali wanachojua ni si muktadha mzima wa jambo husika. Nashangaa sana mtu mjuvi wa mambo kama mwandishi wa hii mada HAJUI kuwa siasa za ndani ya chama ni tofauti sana...
Tatizo ni kwamba unazungumzia Shall ya kawaida ,ukizungumzia hivyo ni kama uko sahihi. Bahati mbaya kwako ni kuwa 'Shall' inayozungumziwa ni 'Shall' ya kisheria ambayo inapotumika maana yake imeainishwa kuwa inamaanisha nini. Kwa hiyo uko wrong#
Jidu La Mabambas
Nchi nyingi zenye toll charges hawakatwi fuel levy. Huku kwetu badala ya toll ndio wameweka hiyo fuel levy ukicharge toll na fuel levy unakuwa unamcharge mtu mara mbili . Na tatizo la foleni hapa kwetu ni miundo mbinu ndio haijakaa vizuri sio kwamba magari niengi kihivyo.
Ukisikia mtu anaitwa kibaraka ndio kama huyu, huyu si ajabu babu yske alikuwa kibaraka wa mkoloni ,ingelikuwa enzi za mkoloni muimba mapambio huyu angesema heri kuendelea kutawaliwa na mkoloni hap Watanganyika mwenyewe hawana uwezo wa kujiongoza, ni mtu ambaye lazma ajikombe ndio apate...
Watu Kama wewe wako wengi sana nchini , watu wanao chambua sekta moja moja kuwa ndio tatizo linalosababisha kuwa hapa tulipo Kama taifa. Haujakosea ,Ila ulichoandika ni sehemu tu ya tatizo ,hebu jaribu kujiuliza sisi kama taifa lenye karibu kila kitu tumefanikiwa japo nini kwa mfano? Je...
Nimesoma tu, maneno Ndugai alipoumwa ..... nikaacha kuendelea kusoma kwa kuwa inaonyesha hujui msingi wa kesi yenyewe kwa hiyo huwezi kuwa na pointi ya msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.