Ahadi ya Dr. Silla ni kwamba hata kama hawatafanikiwa kuingia Ikulu this time ccm wakati wanaapishwa kuingia Ikulu wao watendelea na kampeni za kujenga chama nchi nzima.........hakuna kulala mpaka kieleweke................
Hapo bado mtu wao hajachukua fomu ndiyo maana wameongeza muda........aka mzee wa monduli.....lengo lao ni kuwanyamazisha wabunge wa upinzani katika kuibua hoja za kuchallenge serikali.:A S angry:
swali la msingi hapa chadema waende mahakama gani coz wote ni wale wale nafikiri issue ya mgombea binafsi mliona kilichotokea hata friends of court nao walichakachuliwa sembuse hili:bowl:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.