Najiuliza siku zote sipati jibu,imekuwa ni kama desturi kwa hawa wa kina dada wanakuwa c wa kweli katika kutaja umri wao wa ukweli,sasa cjui wanaona aibu....kuna vitu ambavyo confidential lakini hili la umri nalo?...
Mimi siku zote huwa najiuliza ivi wasichana ni wabahili au wanafanya makusudi,inatokea siku mnatoka out wewe(mwanamme) ndo umemwambia mtoke out sio mbaya mwanaume kulipia gharama zote..
Ikitokea yeye siku iyo ndo ameomba yeye mtoke out then mnafika labda mnaagiza misosi yaani bites...
Tuchukulie upo na mpenzi wako mmetoka faragha siku moja na huwa mnakaida mkienda ku..duu huwa mnatumia condom,sasa siku iyo upo nae unatoa kile kipakti akaziona badala ya kuwa tatu siku iyo ziko mbili akakuuliza iyo moja umeipeleka wapi? au umeitumia na wengine c unajua wanawake kwa wivu...ni...
Mimi napata kigugumizi juu ya mwenendo wa wasanii wetu,inakuwaje shindano linaanza watu wanajipanga kila siku wanacheza na jasho linawatoka,tena ukiangalia wengi wao ni maarufu sana TZ.
Inamaana kulikuwa hakuna mkataba,ivi wasanii mtaonewa mpaka lini jamani jueni kudai haki zenu msing'ae macho tu.
Kuna baadhi ya misemo watu wanapenda kuizungumza na wengine kuiandika kwenye magari kwa nyuma kama ujumbe,mda mwingine kufurahisha watu au kuelimisha.
Ila msemo mmoja unasema kwamba ''MASIKINI HAFILISIKI''................mimi napingana sana na huo msemo maana kwa uelewa wangu ni kuwa masikini...
Naombeni mnijuze muundo wa uongozi wa jeshi la polisi-Police rank,yaani akitokaahuyu Inspector general,anayefuatia ni nani mpaka kufikia ngazi ya mkoa..
Wanajamii naombeni mnijuze muundo wa uongozi wa jeshi la polisi nani ni mkubwa na anayefuatia kiuongozi maana nimeona jeshi letu uongozi unabadilika kila kukicha...
Habari za jioni wanajamii forum,ivi tofauti kati ya Celebrity na Superstar ni ipi? na kipi ni kigezo cha kumpa mtu ucelebrity au Usuperstar!..
Na ni kweli bongo kuna hao watu (Celebrity na Superstar ) na hawa wasanii wetu tumezoea kuwaita masuperstar mara celebrity.........ivi hawa wanafaaa...
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni flani hapa dsm,kuna msichana mmoja alifanya field kwenye kampuni ninapofanyia kazi na ivi sasa anaenda kumalizia chuo mwaka wa tatu na ana miaka 23 nilitokea kumpenda sana nanilitamani siku moja aweze kuwa mpenzi wangu na hatimaye mke,lakini mishemishe zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.