Jamani tunaomba mwenye utaratibu na gharama za Serikali za mitaa za kupima mashamba kuanzia eka moja na kuendelea atusaidie tafadhali
Jamani naomba mwenye kufahamu kuhusu upimaji wa mashamba kupitia Halmashauri za Serikali za mitaa na kupata hati za kimila bado upo????
Tatizo ni kwamba, kazi hii imefanywa bila kufanya utafiti wa kutosha, au niseme ushauri ulikuwa mbovu wa kufanya zoezi hili! Sijaona sheria inayobagua. Hakika Waswahili wana usemi usemao "Nyumba yako ya vioo, kwanini unaanzisha ugomvi wa mawe?????
nduh
Ndugu yangu kinachoangaliwa hapo sio mtu amepata uwaziri wakati gani, eti yule aliyepita ndiye aliyefanya madudu, hapana! Hapo ni kinachoangaliwa ni cheo, kama wizara yako imepata kashfa unatakiwa kujiuzulu mara moja. Wenzzetu Ulaya ndivyo wanavyofanya!!
Jamani! Jamani! Muogopeni Mungu! Kitendo cha kuwaadhibu wote waliofoji vyeti bila kuangalia upande mwingine wa shilingi siyo sahihi. Watu hawa wana mchango mkubwa katika Taifa letu; kwani wametumia nguvu, akili na maarifa katika kulitumikia Taifa na wengi ni waadilifu. Mkosaji ana mazuri...
Jamani! Swali la kujiuliza, ni kwanini waliwaajiri bila kugundua kuwa vyeti ni feki???? Kwani utaratibu wa ajira serikalini ukoje???? Kwanini waliwaajiri wakijua kuwa vyeti ni feki?? Kama wangehakiki kabla ya kutoa check number, haya yote yasingekuwepo. Hivyo basi, wanastahili adhabu kali...
UKIAMUA KUFANYA BIASHARA NDUGU YANGU, KUWA MUWAZI, MTEJA AKIULIZA SWALI JIBU KWA UFASAHA, USIFICHEFICHE; SIKU ZOTE MTEJA NI MFALME. SASA WEWE UNAAMBIWA WEKA PICHA YA 32M UNASUASUA, KWANI UNAONA TABU GANI KUWEKA PICHA HIYO?????? UNAPOSEMA NYUMBA YA 32M ONESHA NA PICHA YAKE; NYUMBA YA 72M ONESHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.