Makonda mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam anapata wapi hela anazo Honga taasisi huyu atakuwa mtumia rushwa au anatumika na wafanyakazi biashara wa kwepa kodi au anachotewa fedha toka hazina maana tu nasikia bwana yule anagawa pesa mwenyewe
Leo tangu saa kumi na nusu tupo hapa airport tukiwagonjea vingunge wa CCM waliopora ndege ya CCM kwenda nayo msibani Zanzibar wakituacha abiria tunang'aa macho eti hiyo ndio Tanzania ya viwanda.
Inachekesha kuona chombo kikubwa kama star TV wakidanganya na kutoa taarifa ya uongo kuuthibitishia umma kupitia lenatus mkinga kwamba CCM imepita majimbo sita kata 30 huku wakijua majimbo hayo yamekatiwa rufaa je star TV wamethibitishiwa tume kuhusu majimbo hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.