Search results

  1. B

    Kamati ya maadili imchunguze makonda

    Makonda mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam anapata wapi hela anazo Honga taasisi huyu atakuwa mtumia rushwa au anatumika na wafanyakazi biashara wa kwepa kodi au anachotewa fedha toka hazina maana tu nasikia bwana yule anagawa pesa mwenyewe
  2. B

    Maajabu ya CCM na ndege ya ATCL

    Leo tangu saa kumi na nusu tupo hapa airport tukiwagonjea vingunge wa CCM waliopora ndege ya CCM kwenda nayo msibani Zanzibar wakituacha abiria tunang'aa macho eti hiyo ndio Tanzania ya viwanda.
  3. B

    Star TV yageuka tume

    Inachekesha kuona chombo kikubwa kama star TV wakidanganya na kutoa taarifa ya uongo kuuthibitishia umma kupitia lenatus mkinga kwamba CCM imepita majimbo sita kata 30 huku wakijua majimbo hayo yamekatiwa rufaa je star TV wamethibitishiwa tume kuhusu majimbo hayo
Back
Top Bottom