Mzee wa kusamehe tu wandugu. Baada ya kurejea ugambani amerudi kuumwa kwa kasi ya ajabu. Ameshindwa kusimama kuhutubia; Ameshika microphone anatetemeka mikono yote na maneno yanagoma kutoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajiona upo saafi kimawazo kifkra nk, kwasababu tu upo ccm ya wababe ccm ambayo mtu yoyote anaweza kujiunga muda wowote tena Kwa kulipia 1500. Unajiona kuwa ccm ni kufauru mtihani mkubwa sana, unajiona kama kuwa ccm umevuka bwawa la moto, kumbe ni kununua kadi ya buku jero tu, sasa unawakejeri...
Jana na leo asubuhi wamefanya media attention kubwa sana eti wanapokea wagenui 05 ili watu waache kujadili UDHALIMU wa UCHAFUZI waliofanya kwenye UCHAGUZI mdogo kumnbe wanampokea mtu ambae hana hata impact moja kwenye siasa za upinzani
Wote uliowataja baada ya serikali kuachiwa kazi ya kuwasaka walipatikana wahalifu? Hukumu zao mahakamani zimewahi kutolewa tuweke records zetu sawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Viwanja vilivyopimwa kiserikali vinauzwa Mkuranga. Hatua iliyobaki ni mnunuzi kwenda kuchukua HATI.
Kilometre 3 toka Mkuranga Mjini; Umeme unapita na uendelezaji wa maeneo umeshaanza.
Bei ni Elf 7,000/= kwa square meter.
Mawasiliano zaidi piga 0787094824
Acheni kuendeleza siasa za chuki na propaganda. Hivi Anatropia kamhujumu Mtatiro kwa namna gani? Jimbo la segerea lilichukua muda gani kupata suluhu linakwenda chama gani? Hakujiondoa kwa hati ya Kiapo? Mtatiro alimshirikisha katika kampeni zake?
Dada wa watu nilimuona akienda kujenga chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.