Ukiona mtu in his late 50s na kaishi abroad for 30 years huku anajisifia kuwa anajenga nyumba ya kuishi yeye mwenyewe then tambua hapo kuna shida kubwa.Unapaswa kumhurumia kwani ile methali ya asiyefunzwa na mamaye huwa inaanza kutekelezeka kwa ulimwengu kuchukua nafasi yake.He is a frustrated...
Kuna jamaa yangu hapa nimemsimulia kuhusu hii thread akanipa yake pia;
Alikuwa anatoka job kwenye gari akiwa amefunga vioo kawasha AC mara kufika kwenye foleni si mbali na ofisini akaachia bonge la ushuzi hapo hapo anamwona demu aliyekuwa anamfuatilia kitambo dirishani akimwomba lift...anasema...
Kwa majibu yako haya hekima yako imejidhihirisha kuwa wewe ni mtu wa namna gani.Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukutilia maanani as now uwezo wa kufikiri umejipambanua kabisaaa....sasa kama wewe ni business man aliye na uwezo wa kawaida kabisa na kudai kwako uko Canada...huoni kuna haja...
Hata namna unavyojibu unaonyesha chuki ya ajabu na kuwa kinachokusumbua ni majungu na chuki binafsi.Unataka kujua Magunila aliko?Alitoka hapo akaenda Dangote ambako ana maslahi makubwa kuliko hapo Buly...Huyo si mwenzako kama ni mtu unafikiria kumtolea mfano.Wewe fanya kazi kama huna vigezo...
Post imekaa kimajungu majungu sana na inaonekana mwandishi wa huu u.pupu ni huyo HRO anayesema alifukuzwa ili jamaa apige dili zake kwa nafasi.Nimefanya kazi mgodini tena hapo hapo Buly for 4 years nayajua sana aina hii ya majungu.Ukiwa strict na watu wazembe ni rahisi sana hao watu kukuzulia na...
Hii habari ni pure majungu.Hili ni jipu la fikra Magufuli anatakiwa kulitumia. WATZ tufanyeni kazi majungu ya Kip.uuzime.kama haya hayatatufikisha kwenye uchumi wa kati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.