ninaona ni bora nitioe mfano wa moja ya matatizo ambayo labda yanaweza yakajitokeza ,hivi kama wewe ni baba au mama na ikatokea kuwa na kutokufahamiana hop nyumbani,na ukajaribu kutumia busara ili mzozo huwo usiendele kwa kuamua hilo ukaona ni bura kuondoka hapo kwa muda na kwa kuwa ulijaliwa...
kwa maoni yangu mimi ili kiswahili kiweze kujitegemea basi lazima kwanza zitafutwe sarufi za kiswahili kama ilivyowezekana kukitoa kiswahili kwenye serufi za kiarabu na kuzileta hapa tulipo sasa, likiwezekana hilo basi tutaweza kupunguza kuwa wategemezi wa lugha zingine na wala sio kiarabu pekee...
kwa maoni yangu mimi ili kiswahili kiweze kujitegemea basi lazima kwanza zitafutwe sarufi za kiswahili kama ilivyowezekana kukitoa kiswahili kwenye serufi za kiarabu na kuzileta hapa tulipo sasa, likiwezekana hilo basi tutaweza kupunguza kuwa wategemezi wa lugha zingine na wala sio kiarabu...
pleas make a point ujinga ulifanywa na wajinga na sasa wajinga wanafanya ujinga hakuna katika maandiko takatifu yanayo halalisha kumua/kudhulumu mwingine na yeyote yule mwenye kuamini kuwa mauji au dhuluma ni sehemu ya imani yoyote ile huyo ni mjinga wa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.