Habarini wana jamvi.Nimekaa nikatafakari kiasi kwamba nashindwa kuelewa kwamba kuna mtu anaweza kushawishika na ahadi za ccm mpaka akakipigia chama hicho kwa sababu kwamba .1 kimeshindwa kujenga maabara hadi wanainchi wajitolee ndo wajenge.2.kama kujenga tu maabara kumewashinda je? Wataweza...
Jamani wana jf naomba msaada njinsi ya kupost thread humu nimejaribu nimeshindwa mwenye kujuwa anisaidie huku nilipo kuna matukio mengi ya kujuzana tafadhari
Huyu jamaa anakera Sana kila siku huponda vyama pinzani kwa kivuli kwamba hafungamani na chama chochoke mi na ona ni unafiki anashindwa kusoma magazeti kisa porojo zake na kumnyanyasa mdada wa watu kwa kumunyima kuchangia chochote na kuweka nyimbo za vijembe hadhi inashuka broo jifunze kauli nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.