Salam za mwaka mpya wadau.
Kuna rafiki yangu kaniomba nimtafutie bei za jumla za dagaa kavu katika soko la Kariakoo. Yeye anataka kusupply hapo sokoni.
Naelewa huwa zinabadilika kutokana na demand and supply. Ningefurahi ikiwa mdau atanipatia minimum-maximum prices au hata average prices.
1...
Wadau salamu zenu
Wakati mh Rais John Magufuli alipotoa maagizo kwamba wadau wote wanaohusiana na masuala ya bandari katika utowaji wa mizigo wafanye kazi kwa masaa 24 ili kuongeza uzalishaji na kupunguza usumbufu kwa wateja, TBS wao bado wanakwamisha zoezi hilo kwa kufanya kazi kwa masaa...
Kwa kumuunga mkono jemedari wetu Mtanzania mwenzetu, mzalendo nambari 1, inaemuuma nchi yake, I solemly declare before my fellow countrymen, loudly and clearly, " I AM TUNDU LISSU"
Sote tunafahamu ukweli wa kwamba Manispaa zote nchi nzima zimerudi kufanya kazi karibuni tu baada ya uchaguzi na nyengine kuchelewa zaidi hasa Manispaa za Ilala na Kinondoni kwa hapa Dar Es Salaam!
Kinachonisikitisha ni kuona watunza mazingira wengi wao kina dada katika kazi za usafi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.