Imekula kwenu, shule za kata zimetufumbua macho wasomi ni wengi sasa, hatudanganyiki na ahadi zenu za kofi, tshet, khanga, madera na ahadi zenu za uongo, watoto washule hatudanganyiki tunataka mabadiliko.
asante mama, R.I.P Slaa katika safari yako ya siasa. tumesikia pumba zako, tunaomba kukuarifu tu kuwa umeendelea kutuaminisha kuwa lowasa anafaa. Dr. kamwambie aliyekutuma kuwa nimewakuta wakali kweli na wameniambia wameshindwa kubadili misimamo yao chaguo lao ni lowasa, labda wakampe hela na...
Hakuna kitu kama hicho ndugu, mpambanaji wa kweli hawezi kuacha chama kwaajili ya mtu, mwenye akili timamu na mwenye kujua mabadiliko hata kaa arudishe kura yake ccm. labda hao ni wale wa kutengenezwa. tungeamini hilo mkuu wangehamia vyama vingine vya upinzani na sio huko ccm.
Kwa bahati nzuri, hata upinzani wawe na udhaifu mkubwa kiasi gani, nitabaki upinzani kuliko kuirejesha CCM madarakani. pole kwa unafiki wako Slaa, huku kwetu umepuuzwa.
Dr, Kiukweli Sijapenda Alichokifanya hii ni Kuididimiza nchi, tunataka tujue uongozi wa ukawa, hawa wengine tayar hawafai. sasa dr. anamshambulia fisadi mmoja kaacha wale 10 kwenye list yake. hii ni wazi kuwa wale ambao hawakutajwa na dr. ndio wamemwezesha kumchana rais mtarajiwa. naomba EL...
afuate hatua tu, amshtaki katika mabalaza husika, haki yake atapata fasta.... teh teh teh au ahame hapo anapoishi aende sehemu nyingine, na akirudi awe mjamzito then amuombe taraka hapo atatoa tu.
non sence, jaribu kutoa unacho kijua sio cha kukaririshwa. haiwezekan kukosa point nakupost ujinga huo huo kila siku. haya potea...! kawatawaze mapapa wa ufisadi huko ccm, el ni mkombozi wa kutokomeza mafisad kupitia ukawa, kumbe ndo mana mpo matumbo moto na kutoa uhalo humu ndan.
ni kweli hawa wameamua kuanzisha uzi wao, wote wakiwa upande mmoja kwa lengo la kukigawa chama. poleni sana hzo ni stail tu za kufa. kwa muda huu ni vema mkakojoe mlale huo ni mchezo wa kitoto. watz sio watoto wanajitambua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.