Wengi mmekurupuka na kushambulia pasipo adui. Hata mleta mada amekuja na msamihati wa LEGITIMANCY ambao labda kausoma kwa haraka (inaelekea ni mwanafunzi wa sheria, lakini mambo hayajakaa sawa). LEGITIMANCY lazima itofautishwe na LEGITIMACY. Ni msamihati mpya, uliundwa kukieleza kisheria kile...
Mleta mada amefanya jitihada zza kuuonesha umma UPUMBAVU wake. Huwezi ukatenganisha chama na watu. Upo uhuru wa kikatiba wa kufanya shughuli za kisiasa, kujiunga na kukiahama chama chochote.
Kama katiba ya nchi inaruhusu kufanya hivyo, halafu mtu ambaye amewahi kuiongoza serikali na taifa chini...
Ina maana Magufuri ni fukara? Tukilinganisha vyanzo HALALI vya mapato ya viongozi na wagombea wa CCM na mali walizojilimbikizia mbona utapata kigugumizi?
Halafu eti "kwa niaba ya Baba wa Taifa"... umemuona wapi? Kakutuma? Mwacheni apumzike kwa amani, msitumie jina lake visivyo.
Inawezekana kabisa kile alichokisema ndugu Kikwete kikawa na maana; na najitahidi kujaribu kuwaelewa wanaomtetea kwa jazba kwa sababu ametajwa Rais wao. Lakini pia najiuliza, kama kweli mazungumzo ndo suluhisho mbona Kikwete mwenyewe ametuma wanajeshi nchini Congo kupambana na M23? Si angewatuma...
Simtetei huyo mama kwa kosa alilolifanya, atalipia kosa lake kadiri ya taratibu za kisheria au za kijamii. Nisichokubaliana nacho ni udhalilishaji wa namna alivyomatwa, karibu kuchaniwa nguo, kupigwa picha na kusambazwa kwa picha zake. kuna watu ambao tayari maisha yamewadhalilisha...
... katika ajali hiyo mtu mjoja amefariki na wengine watatu kujeuriwa... kwa sasa majeuri wanaendelea vizuri na matibabu kwenye zanahati huko Bombolangoto jijini Dar es Salaam.
Leo nimepewa lift na mheshimiwa fulani kwenye gari. Jamaa leo alikuwa na tumbo chafu, alikuwa anajamba sana; na kila ushuzi anaongeza kiwango cha harufu mbaya. Kila alipokuwa anajamba anaongeza sauti ya redio. Baada ya kushindwa kuvumilia nikashusha kioo. Akageuka na kuniomba radhi akisema...
Kutofikiri kama sisi wenzako sio hoja ya kufanya mawazo yako yawe sawa; na kwamba ni "slang" haiondoi uwezekano wa kwamba hiyo slang ikatumika kuwaudhi baadhi ya watu. shenz taip! (slang)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.