Inawezekana kabisa... nimejenga gorofa 1 bila kutumia nondo, matofali ya chini ni ya inch 6 na yamelazwa.. nyumba ni imara haina nyufa zozote.. mwaka wa 15 sasa
Siyo kweli... ukiondoa local channels hawana jipya.. wengi ata wakinunua decoder zako wataangalia local channels tuu ambazo ni bure... malipo ya mwezi hakuna atakayelipa
Una akili finyu sana... acha kuleta siasa kwenye biashara za watu, wenye hisa ndiyo wenye mamlaka ya kuchagua MD wao... ndiyo maana tutabaki kuwa nyuma na tutaendelea kuwa hivyo milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.