Mkuu wa shule ya sekondari Usangi day, wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro amewahimizia wazazi wa watoto wanaosoma katika shule hiyo kuendelea kuchangia michango kama kawaida.
Mkuu huyo wa shule amesema kuwa kila mzazi anatakiwa kuchangia cement mfuko mmoja,hela ya mlinzi,hela ya taaluma na...
Wadau,
Muda si mrefu mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda atakuwa live E-FM radio akizungumzia maswala mbali mbali. Tujumuike pamoja katika uzi huu nitawaletea atakachozungumza.
========
Ameshaanzaa kuongea muda huu, na anasema mabadiliko yaliyopo sasa hayaepukiki kabisa na wapo...
Kwenye Biblia Kuna Mstari Unasomeka "kipimo Utakachojipimia Ndicho Mungu Atakachokupimia."
Kiukweli Mimi Sina Gari Wala Baiskeli, Ila Kwa Sababu Ninajipimia Kuja Kumiliki Helcoper, naomba Msaada Wenu Wa Soko Zinapouzwa, gharama Zake In terms Of Dollars Na Aina Ipi Ni Bora.
Karibuni Kwa Maelekezo
Kuna taarifa zimerushwa na kituo cha radio cha E-FM Radio muda huu kuwa panya road wamevamia maeneo ya Kinondoni Moscow na sasa wanaelekea Mkwajuni.
Mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhari.
Wote wanapata ulaji kupitia uongo ambao mjinga anausadiki. wote huwa wataalam wa kuongea na ni wataalam wa kupangilia maneno.wote huwa na dalili za wizi.wote huwa karibu na maafisa usalama/askari ili kulinda maslahi yao.wote huwa na harufu ya kwenda jela.je,unaamini wanatofautiana?
Ndugu wanajamvi naomba tujumuike wote kupeana taarifa za maazimisho ya sherehe za uhuru zinazoendelea nchi nzima kwa kufanya usafi. wilaya ya kinondoni,makam wa rais bibi samia suluhu ataungana na watanzania kufanya usafi kuanzia morocco hadi magomeni,akiwa pamoja na paul makonda na viongozi...
wadau naombeni mnisaidie shule inayomilikiwa na mh tibaijuka iliyopo dar nataka nimpeleke mtoto wangu akaanze kidato cha kwanza hapo.kama mkinisaidia na gharama za ada na michango yake mingine itakuwa vizuri sana.
Ndugu Mwinyi alikuwa rais wa pili wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, akiitumia kwa miaka kumi.
Kupitia uzi huu maalumu naomba tujikumbushe mambo mazuri aliyoifanyia Tanzania.
Mwalimu Nyerere alikuwa ndie waziri mkuu na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika na pia ndie Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Naombeni tujikumbukushe mambo mbali mbali kuhusu mwalimu Nyerere kupitia huu uzi.
Karibuni sana
ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima katika familia yangu naenda kutoa maamuzi yafuatayo:-moja,nitafuta sherehe zote ambazo zilitakiwa kufanyika na kusherehekewa nyumbani kwangu kuanzia za kiserikali na za kidini na fedha nilizokuwa zimepangwa zitaelekezwa kwenye matumizi yenye uhitaji mkubwa...
Wadau,
Kumbe sio kila ukionacho unatakiwa kukitizama ukiwa unavuka barabara, muda huu nimesurika kugongwa na fuso la mchanga baada ya kuingia barabarani na kuanzaa kushangaa mdada mmoja aliekuwa na bonge la wowowo aliekuwa akitembea pembezoni mwa barabara.
Asante mungu kwa kuniepusha na ajali...
Hatimaye kiswahili chaitikisa Nigeria tena,sasa mwanadada mrembo Yem Alade kuachia ngoma mpya aliyoimba kwa lugha ambayo hatupendi kuitumia tukitana na binadam mwenye ngozi nyeupi a.k.a mzungu,kwenye mashairi ya wimbo.
Mwanadada huyo amesema kuwa Saut Soul ndie aliemfundisha kiswahili.
CHANZO...
AFRIMA wametoa list ya wasanii bora Africa,mtoto wa Mbagala anaetafutwa kama alimasi ameongoza list ya wasanii 15 bora kuwahi kutokea barani Africa.
Bravo mond!!
leo jioni nilitoka na rafiki yang aliniambia twende tukanunue wanawake wanaojiuza Msigani Machimbo ya Mawe,nilimkubalia ila nilimwambia ngoja nivae nguo zinazoendana na huko.Tulienda na tulipofika,rafiki yangu akaniambia hapa huwa kuna vituo tofauti tofauti vya wanawake wanaojiuza.Tulienda sehem...
Tupia kitu ambacho huwa ukikiangalia kwa mpenzi wako unacheka kimoyo moyo ili asijue.
Naanza mimi: "kiukweli mpenzi wangu ana bonge la chogo ila wigi ndo huwa linafunika chogo lisionekane".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.