Nimejaribu siku hadi siku kuangalia hili swala la serikali kudai inalinda nchi na magari chakavu na sasa imepunguza miaka ya uchakavu kutoka kumi hadi nane. Hivi serikali hii imeangalia uwezo wa wananchi kununua magari yasiyo chakavu? Mbona hayo ya miaka nane yapo mengi yana zaidi ya milage...
I do not know if the topic makes sense. But the mesage is. Mandela wasn't such a handsome boy. Whiney was such a beutful lady, but she didn't know that she was in marry with world's hero. Wemen, what r u in!
Nimejaribu kufuatilia wimbi la kisiasa na jinsi vijana wanojiita wanamageuzi kujifanya wanarudisha kadi na kujiunga na chama tawala siku hadi siku. Nimejaribu kutafakari mambo mawili.
1. Kulikuwa na sababu gani kujiunga na vyama vya upinzani? (Nauliza kuwa hawa wasomi walikuwa na sababu makini...
Mimi ni Mtanzania na ninaishi Tanzania.
Ninao wjibu wangu kisisasa kumchagua kiongozi anayenifaa ili aniletee maendeleo.
Nina wjibu wa kufuatilia ahadi za kiongozi ninayemchagua.
Nina wajibu wa kutathmini anayoniambia na alichonifanyia.
Nina wajibu wa kuona nyendo zake zinalenga kunifanikishia...
Dar es Salaam
MWANDISHI wa Habari wa Gazeti la Tanzania Daima Andrew Chale ameanza kuishi maisha ya wasiwasi baada ya watu wasiojulikana kufanya jaribio la kumteka.
Chale alisema kwamba siku ya Jumamosi usiku watu wasiojulikana walikuwa wakifuatilia nyedo zake.
Alisema watu walikuwa kwenye...
Mara nyingi utasikia wakamatwa wakifanya ngono, mara nyingine wakifanya mapenzi, sasa tofauti ya maneno haya ni nini? najua wengine wanafikiri ngono ni ile isiyo halali, lakini hata mapenzi yapo halali na yasiyo halali.
ninaposema Taifa ninamaanisha wananchi wema na wenye mapenzi mema. Ni muda mrefu watanzania tumekuwa kama yatima kutokana na utawala mbovu na wakifisadi kiasi kwamba wengi wamekata tamaa. Bahati mbaya sana wizi umekuwa ukifanywa waziwazi bila woga na hakuna wa kufunga paka kengele. Mungu Asante...
Nashindwa kuwaelewa hawa viongozi wa CCM
Wamekwenda Arumeru kuwaeleza wananchi namana watakavyowaletea maendeleo au kuzungumza maisha binafsi ya wapinzani wao? Hawa ndiyo tunatarajia wawaletee wananchi maendeleo ua?
Mkapa: Kiongozi aliyewahikuwa kiongozi wa nchi ( Vicent nyerere siyo...
Wana JF naomba kuleta huu uata kwenu. siyo kwa niya ya kuingilia maslahi ya mtu.
Nimekuwa nafuatilia sana hili sakata la ushoga na hata mambo yaliyoletwa na mkubwa wetu bwana Cameroon. Nawapongeza jamaa zetu wanaoliwa kiboga kuwa wamepanda cheo na sasa wanaitwa makameroon.
Lakini niseme kuwa...
Jamaa anamuuliza binti wa kimakonde, ati, kwa nini wamakonde hawawezi kusema Mtu na badala yake wanasema Ntu?
Binti wa kichinga ( iiiiiiiiih siiyo woote. Unajua kusema ntu, inategemea ntu na nnntu!)
Jamaa alivuta ngororo yake "wengine mnaita boom" na sijui vijana wa siku hizi mnaitaje?
Baada ya kukamata mshiko akazama baa moja huko mwenge "Ingongwe" na "migombani". Akapiga ulabu wa kutosha. Baadae akavuta KCC (Nikumbusheni mliopo kwa sasa mnaitaje?). Akarudi na kcc yake na kushuka kituo...
Wakati huo nilikuwa natamani kuwa na G. Friend. Ishu ya kutongoza ilikuwa hivi:
Dada mambo? (Poa).
Siku hizi mnona hatuonani? (Nipo tu)
Ndo unaenda nyumbani? (Hapana, naenda kumwona rafiki yangu)
Sasa utaniruhusu nikusindikize? (twende tu)
Nyinyi si ndo mnakaa ile nyumba nyekundue? ( Hapana...
Wana jamvi nimejaribu kujiuliza mara nyingi kuwa Tanzania ni nini???
Kutokana na historia niliyofundishwa ni kuwa Tanzania ni muungano wa nchi mbili ambazo ni Zanzibar na Tanganyika.
Lakini swali linakuja, Je baada ya muungano Tanganyika ilikwenda wapi? Bona zanzibar ipo? Na hata wazanzibar...
Nijiuliza kila kukicha?
Je, Tanzania nia nchi iliyo na rasilimali nyingi kama inavyoelezewa? Kama hivyo basi, vilevile Tanznia tunajivunia utajiri wa upumbavu kwa kutoweza kuzitumia hizo rasiliamali, lakini tunajivunia utajiri wa viongozi mbumbumbu pengine zaidi kuliko wote duniani.
hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.