Kweli kuna kipindi Sinta alikuwa maarufu kwenye vyombo vya habari! Lakini alipoturia nadhani hata vijana waliozaliwa juzi hawamtambui kabisa kama kuna Star wa filamu alikuwa anaitwa Sinta!
Ila msimamizi wa mashine ya kusaga yupo makini zile ambazo si nzuri kwa kuliwa na binadamu anakataa kuwauzia ingawa wao wanabembeleza awauzie! Nadhani TFDA inabidi itembelee maeneo ya uzalishaji chakula na kuwashauri wananchi.
Leo nilienda maeneo ya ILULA-MAGU, MWANZA kununua pumba za Mahindi kwa ajili ya Mbwa na Bata nilikuta kwenye mashine ya kukoboa na kusaga Unga wananchi wananunua pumba za mahindi alafu wanazisaga kuwa Unga wa kupika Ugali. Pumba kisado kimoja TShs 1,500 na debe moja la pumba TShs 5,000 . Sado...
Alipewa cheo cha General miaka ya utawala wa Mkapa kamasikosei akiwa amerudi kutoka ubarozi .Nigeria. Kwa taarifa alikuwa bado kustaafu jeshini ndiyo maana ikabidi apewe na U-General?
Jamani mbona President Mkapa alimleta yule Professor wa Venezuela au Peru naye akafanya yake, tumpe muda Magufuli simnajua wa kwetu wote sasa hivi ni hofu tu! Hata kusema hapana ni shida, mpaka Gavana Ndulu alipo jitoa mhanga kwenye sakata la VAT kwenye transaction za bank. Waje tu watutsi ila...
Ila siwanawake wote ni lazima waolewe, asilazimishe kuolewa akubali maisha yake akipata mtoto bila ya ndoa atakuwa na amani tu. Kuna wanaume hawana ndoa ila wana watoto nao pia wana amani pia.
Katika kipindi cha Tuongee Asubuhi Mzee Mkinga (Mwanaharakati) amekichambua kitabu cha Historia dalasa la NNE na SITA anasema hakuna kilicho sahihi. Wanahistoria tu naomba ufafanuzi mliomsikiliza !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.