Hapo tajiri haibiwi,hesabu ishapigwa uzito wa mzigo+kilomita=kiasi cha mafuta,kwahiyo kinachobaki dereva atajua anafanyaje na kama itakula zaidi ya hapo tajiri hataelewa yeye anataka mzigo ufike
Nnavyojua;
Cc(cubic centimetre)ni ujazo/ukubwa uliopo ndani ya cylinder kwenye nafasi inapotembea piston kutoka (TDC)top dead center kwenda (BDC) bottom dead center.
Kwahivyo basi;
Gari kula mafuta inategemea na ukubwa wa CC na sio uwingi wa cylinder.
Muheshimiwa anatutengenezea kizazi cha kipumbavu bila kujua na siku akija kujua atakuwa ashachelewa,HIVI MTU KAMA HUYU ANAPATA WAPI MUDA WA KUANDIKA UPUMBAVU KAMA HUU HALAFU AKILI YAKE IKAM-SUPPORT?
Shida ya hawa ndugu zetu wanataka tufuate dini yao hata kwa viboko wamesahau kuwa hii kitu ni Imani tu na usipokubaliana nao wanakuita majina ya ajabu yasiyo na adabu tena yenye kuudhi.Hawa waliotuletea hizi dini ndo wanaomua kufanya mabadiliko lakini povu unajaa wewe,JITATHMINI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.