Search results

  1. Ronal Reagan

    Ukimsikiliza Prof. Mruma kule Mahakamani utakubaliana na Prof. Mbarawa kwamba kwa sasa Watanzania hawawezi kuendesha Bandari!

    CCM hawawezi kuendesha Bandari lakini sisi Watanzania tunaweza. Prof Mbarawa na Prof. Mruma wote CCM Wewe ni CCM, Hayati Magufuli alikuwa CCM, Mh. Kikwete ni CCM Rais wa sasa Samia ni CCM, Prof. Mhongo ni CCM, Mzee Kinana na Makamba wote ni CCM.... Sasa unasemaje Watanzania kwa ujumla wetu...
  2. Ronal Reagan

    Uhuni mkubwa kwenye Mkataba wa Bandari, haijulikani Tanzania imesaini na nani

    Chochote kinawezekana kwa CCM, Mkuu Bams. CCM wana hitsoria ya mikataba mibovu, ufisadi, rushwa na kila uhalifu dhidi ya Tanzania na rasilimali za nchi yetu. 1. Richmond 2. Meremeta, 3. Escrow 4. Loliondo 5. Buzwagi 6.Ndege alizonunua hayati Magufuli 7. NB: Sekta ya Madini na Nishati zina...
  3. Ronal Reagan

    Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu

    Dada Faiza salaam! Mada yako ni nzuri lakini nitaunga mkono andiko lako 50% tu......kwa nini? Kwa sababu, wewe si unajua ujinga ni sera ya chama chako CCM? Tusizunguke mbuyu, mhusika na mtuhumiwa mkuu wa wa ujinga na upumbavu uliopo nchini ni mmoja tu - CCM. Wao hawataki kuwapa watoto/watu...
  4. Ronal Reagan

    Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

    Uchambuzi kuntu sana! Hongera. Hakuna Bunge pale. Hopefully, Mh Rais ameona mwenyewe; sasa mpira uko kwake.
  5. Ronal Reagan

    Je, kuna haja ya kuwarudisha tena bungeni hawa wabunge wa Bunge la 12, 2025?

    Kwani nani alieyewachagua hao? Kwa Uchaguzi upi? Mwaka gani? Hao wanafiki "waliwekwa hapo na wengine "kusukumizwa" na Magu. Hakuna Bunge pale! Pale hakuna wawakilishi wa wananchi. Na Magu aliwaandaa kwa mambo kama haya, kwamba wapitishe kwa "ndiyoooo" nyingi mambo kama hilo la bandari...
  6. Ronal Reagan

    Zitto Kabwe: Iundwe Kampuni ya Uendeshaji wa Bandari, TPA na DP World ziwe na Umiliki Sawa (50/50), Azimio sio Mkataba wa Uendeshaji

    Zitto simuelewi kabisa! Hapo anauma na kupuliza tu, akizunguka mbuyu. Amesena Azimio sio mkataba, ok; basi hao DP wakae mbali na hiyo bandari yetu kwanza mpaka kwa tumalize kujadiliana "kistaarabu".
  7. Ronal Reagan

    Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

    Hao ni wanafiki, mbona wakati wa hayati Magufuli yalifanyika kama haya na hata mabaya zaidi kama mauaji na ukatili wa akina Sabaya lakini mwendo wao ilikuwa ni "kuunga juhudi mkono".?? Hatutaki cheap politics, divi Sasa wao kama kanisa walipoteza moral authority; na itabidi wafanye kazi...
  8. Ronal Reagan

    Maswali magumu ya Luhaga Mpina mkataba wa DP-World

    Hoja zote za Mbunge Mpina ni kuwa tuna Katiba mbovu, serikali isiyo making na Bunge mfu. Hivyo turudi kwenye chanzo, tunataka Katiba Mpya!
  9. Ronal Reagan

    Viongozi wa Dini wanazungumza na Serikali kuhusu Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai

    Kwa wale wasiojua kwa nini sisi wengine tunadai Katiba Mpya, hiyo nukuu hapo juu ni ya Waziri Prof. Mbarawa. Kwamba wamefanya kila kitu kwenye huo mkataba wa bandari kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa. Na Bunge limeridhia! Kuna wengine walidanganganywa eti kwamba Katiba haileti ugali mezani...
  10. Ronal Reagan

    Okoa Tanzania Bara: Saini Petition ya kuzuia ubinafsishwaji wa bandari zote za Tanzania Bara

    Usipindishe maneno. Pia ujue akiiba Samia aliyewekwa na Magufuli na kupata ridhaa ya wabunge wa Magufuli, au akiiba Magufuli (kama alivyoiba) au CCM (kwao ni utamaduni) matokea ni yale yale kwetu kama Taifa = HASARA!
  11. Ronal Reagan

    Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

    Uliwahi kutegemea wafanye tofauti? Wamefanya "walichoteuliwa" kukifanya na hayati Magufuli, na pia wamekamilisha kazi "waliyotumwa" na CCM. Wako pale kwa maslahi na malengo ya hao waliowaweka hapo. Iko hivyo na itabaki hivyo Hadi pale tutakapobadilisha hilo - Katiba Mpya!
  12. Ronal Reagan

    Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

    Spinning after spinning.....and more spinning! Of course, the usual spinning from and by the same bloodsuckers. Lakini yana mwisho haya.
  13. Ronal Reagan

    Okoa Tanzania Bara: Saini Petition ya kuzuia ubinafsishwaji wa bandari zote za Tanzania Bara

    Hujajua, jipe muda na utayari kupokea ukweli mchungu. Hawa wanaopiga sasa wanapita mle mle alikopita Magu. Stay tuned
  14. Ronal Reagan

    Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

    Bunge letu ni "kitengo/idara" ndani ya CCM. Hiyo ni legacy ya Mwendazake. Alikusudia na alitaka kulitumia kama mlivyoona. Hilo Bunge la Magufuli Ni mzigo mzito na hasara kubwa kwa nchi yetu. Yatosha, tunataka Katiba Mpya!
  15. Ronal Reagan

    Okoa Tanzania Bara: Saini Petition ya kuzuia ubinafsishwaji wa bandari zote za Tanzania Bara

    Nakubali nawe mkuu Stroke, kwamba huyu wa sasa naye ni mwizi. Nachopinga ni hilo neno afadhali. Sisi kama Taifa hatuna unafuu wowote iwe kuibiwa kwa Siri au kalamu au tabasamu; iwe na Magu au Samia. Wizi ni wizi, ufisadi ni ufisadi - tuukemee na kuuchukia wazi wazi bila kuupaka rangi. Huo ndio...
  16. Ronal Reagan

    Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

    Hilo Bunge la Magufuli ni hasara na mzigo kwa Taifa. Ndio maana tunahitaji Katiba Mpya Leo kuliko juzi na jana. Kukomesha ufisadi na kuondokana na huu utamaduni wa kifasadi ulioota mizizi zaidi ya miaka 40 sasa nchini, we need to RESET. Mkataba unafanana na mingine, mfano wa Loliondo na Ile...
  17. Ronal Reagan

    Okoa Tanzania Bara: Saini Petition ya kuzuia ubinafsishwaji wa bandari zote za Tanzania Bara

    Hakuna afadhali wala nafuu, maana ndiye aliyetufikisha hapa. Tena mbali ya uuaji na wizi, pia alifanya ufisadi wa kufuru i.e. Mwendazake.
  18. Ronal Reagan

    Okoa Tanzania Bara: Saini Petition ya kuzuia ubinafsishwaji wa bandari zote za Tanzania Bara

    Uko sahihi, tuko pamoja! Nilitaka tusiishie hapo kwenye dharura twende kwenye Jambo kubwa na la msingi zaidi - Katiba Mpya!
  19. Ronal Reagan

    Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

    Tunataka Katiba Mpya kwanza. Baada ya hapo tutajua wa kushirikiana nao, kwa vigezo na masharti gani. Well, Inawezekana Mh Samia kashauriwa vibaya au wajanja walimset. Pamoja na hayo muhimu kwa sasa tunataka Katiba Mpya ili mambo hayo yasitokee tena. Rasilimali za Tanzania ziwafaidishe...
Back
Top Bottom