Mpira wetu umekua sana sasa hivi aisee,hii sio kawaida mujue,Waandishi zaidi ya 100 na Ishirini walihudhuria kwa Mkapa, kwenye mazoezi ya timu ya Simba SC. elewa neno Waandishi sio Muandishi😂 ✍️
Nchi ya 2 ndogo zaidi barani Afrika kwa eneo na idadi ya watu ni São Tomé na Príncipe 🇸🇹
1. Eneo la nchi linakadiriwa kuwa Sq.Km 960 (kubwa kidogo kuliko Nairobi) na idadi ya wakazi wake inakadiriwa kuwa 219,000.
2. Ina Pato la Taifa ndogo zaidi katika bara, linalokadiriwa kuwa Dola za...
1. Afrika Kusini🇿🇦 (ya 13 Duniani) Njia ya reli: 22,387 km
2. Misri🇪🇬 (ya 28 Duniani) Njia ya reli: 7,024 km
3. Sudan🇸🇩 (ya 30 Duniani) Njia ya reli: 6,084 km
4. Algeria🇩🇿 (ya 41 Duniani) Njia ya reli: 4,722 km
5. D.R. Kongo🇨🇩 (ya 44 Duniani) Njia ya reli: 4,096 km
6. Nigeria🇳🇬 (ya 51...
Huu ndio muundo wa bendera za mataifa ya ukanda wa “Scandnavia” yanayopatikana Kaskazini mwa bara la Ulaya...
Muundo wa bendera za mataifa una upekee kutokana na kulingana huku rangi pekee zikionekana kutofautisha bendera hizo...
Kila bendera miongoni mwa mataifa hayo ina alama ya masalaba...
1. Likiwa na eneo la Sq.Kms 59,947, ni ziwa la 2 kwa ukubwa duniani baada ya Ziwa Superior huko Amerika Kaskazini.
2. Kwa kuzingatia Bahari ya Capsian kama Ziwa, Ziwa Viktoria linashika nafasi ya 3 kwa eneo kwa eneo duniani.
3. Ziwa hili ndilo Ziwa kubwa zaidi la Kitropiki Duniani.
4. Kwa...
Mnamo 17 May, 2023 klabu ya Mamelodi Sundowns ilitangaza kwenye mechi ya MAMELODI vs WYDAD AC kuwa Mashabiki watakaovaa jezi za Sundowns watapatiwa tiketi bure yaani tiketi itakuwa ni jezi ya njano katika uwanjani wa Loftus Versfeld.
Baada ya Mamelodi kutangaza hivyo hakuna Mwandishi au Media...
Nguo zako zile bora kabisa kuna mtu kwake ni matambara tu.
Akiba yako kwenye akaunti ya Benki ni sawa na mchango wa mtu katika sherehe tu.
Boyfriend au Girlfriend wako au mchumba ni Ex wa mtu!
Hivyo ni nini hasa cha kujivunia?
Maisha ni mafupi sana na madogo mno kujisikia kuwa mkubwa ama...
Golikipa wa Klabu ya Simba na timu ya Taifa ya Tanzania, Aishi Manula hii leo amefungua duka lake la vifaa vya Michezo Kinondoni Morocco.
Hongera sana, AISHI 🙌🏿
Mmasai Abel Motika “ Mr Ebbo" alikiwasha Sana na Ngoma Kali zenye lafudhi na pigo za kimasai zilizokua na komedi pamoja na mafunzo ndani yake.
.
Ngoma gani unaikumbuka toka Kwa huyu mwamba?
.
1.Mi mmasai
2.Bado
3.Kamongo
4.Tabia Mbaya
5.Maneno mbofumbofu
6.Bodaboda
7.Uswazi
8.Njaa
9.Pombe...
HISTORIA YA KRISHNA ILIKUWEPO MIAKA 2900 ILIYOPITA KABLA YA KRISTO
Uhindu na Ukristo una mambo mengi yanayofanana
Licha ya tofauti zao, uhindu na ukristo una mfanano mkubwa.
na hii ni muhimu sana katika suala la maisha na mafundisho ya watu wawili wakuu wa dini hizi za ulimwengu - kristo na...
👉Hii ndio historia halisi iliyoibwa na watu weupe Kisha kuitengeneza na kuifanya yao na kuitumia kwenye vitabu vyao.Kisha wakawaaminisha kwamba mtu wao alizaliwa miaka ya zamani sana,kumbe ni fake story,sasa soma hapa kisha mwambie ukweli mwanao kwamba huyu ndiye yeye,aliyekuwepo,na atayekuwepo...
Wakuu , Usiku huu nimetoka zangu nje kununua Chakula na nimefika pale nikaagiza zangu Chipsi, Mishikaki mitatu na Soda take way.
Sasa wakati nasubiri Chakula imekuja gari Kali ni V8 au Z8 sijaiangalia vizuri sana. Akashuka Jamaa yupo Smart sana na Vito vya thamani mkononi na shingoni ananukia...
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Uingereza FA limepokea muongozo kutoka UEFA kuwa kuanzia msimu ujao timu 8 kutoka nchini humo zitashiriki mashindano ya ulaya,5 zitashiriki mashindano ya UEFA champions league,2 UEL,1UECL. 🚨✅
Ongezeko la timu hizo limekuja mara baada ya ligi ya nchini humo...
Unajua nini kuhusu uadui?
Unajua nini kuhusu urafiki na unajua nini kuhusu biashara?
Hebu jiulize mechi ya SIMBA VS YANGA kisha mtu kama labda Walter Harrison meneja wa Yanga akauze siri za kambi kwa sasa Simba au Try Again achukue mchoro mzima wa mipango ya simba ya miaka 10 ijayo aipeleke...
Copied somewhere
1. Have a joint vision for your love. Don't just be together without direction. Agree on areas you will grow in, things that will define your year and projects you will pursue together.
2. Give each other eye contact more, this communicates love and attention. Unfortunately...
1. Punguza marafiki kwa sababu wapo marafiki ambao wanaweza kua vikwazo vya mafanikio yako na hauwezi kuwajua unapo kua nao na kuishi nao na kula nao unacheka nao na wengine unalala nao wengine hata unajinyima kula ili wale wao lakini ndo namba moja kwa kugeuka kujifanya rafiki huku...
Naanzia kushoto kwenda kulia
1) Salim Ahmed Salim
2) Joseph Sinde Warioba
3) Rashid Mfaume kawawa
4) Julius Kambarage Nyerere
5) Ali Hassan Mwinyi
6) Idrissa Abdul Wakiil
7) Maalim Seif Sharif Hamad
N: waliohai hapo ni wawili
Joseph Sinde Warioba
Salim Ahmed Salim
Wasalaam Wana JF, Hii habari nimeitoa kwenye group la WhatsApp, ni ya kweli na imemtokea Jamaa ambaye tupo nae kwenye group la WhatsApp la Liverpool One Family.
Anaanza kusimulia
Habari zenu nyote humu ndani poleni na majukumi.
Awali ya yote napenda niwashilikishe jambo ambalo limenitokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.