chama changu ccm kitafanya kosa kubwa sana iwapo kitaruhusu jambazi hili la fedha za umma kugombea urais kwa tiketi ya chama chetu maana wapinzani watatangaza ushindi asubuhi mapema. Jambazi hili limehusika kwa kiasi kikubwa sana katika mkataba tata wa richmond ambao ulimlazimisha kuachia...
Kujiunga na chama chochote cha siasa ni haki ya kikatiba ya kila mwananchi wa Tanzania. Nimeshangazwa sana na kauli za baadhi ya viongozi waandamizi wa vyama vya upinzani kuamua kuwananga na kuhamasisha wanachama wao kutonunua kazi za wasanii wote waliojiunga na Chama Cha Mapinduzi.
Huu...
Kijakazi Watanzania wanaendelea kutuelewa na tunaendelea kuwaelimisha kwamba utekelezaji wa mipango ya serikali inawezeshwa na fedha za wananchi hivyo hawana haja wala sababu ya kushangilia. Kwa kuendelea kuwaelimisha wananchi wajibu wa serikali ni lazima tutaing'oa CCM madarakani 2015.
Ni aibu kubwa sana kwa serikali kushindwa kushughulikia tatizo la madktari wetu kabla halijaleta madhara matokeo yake wamesubiri madhara ya mgomo ili waje na vitisho vya kipuuzi na vya kitoto. Hakuna daktari anayeogopa kufukuzwa kazi, daktari wa Tanzania hana tofauti na daktari wa india tofauti...
Mimi nadhani kama ikifikia hatua ya sisi kuchangishana kwa ajili ya umeme hakuna sababu ya kuwa na serikali. Naona ni heri kuitoa serikali kwanza then tuangalie ustaarabu mwingine.
Badala ya kupambana na maisha yanayokusumbua unaleta pumba zako JF, upambane na nani? Ndio maana kila siku tunawaambia mna vichwa vyeupe hatuwaonei, badala ya kuunda hoja ya maana unaleta ushari wako hapa. Ushindwe na Utalibani wako....
Hizi ni gharama za ukombozi, huko South Africa Chris Hani na Steve Biko walikufa, Mandela na wanaharakati wengine walifungwa bila sababu.
Tell my people that we shall die for the sake of this Nation.
Amandlaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Asante sana ndugu yangu, kama ulivyosema huu ni mtazamo wako tu. Nami sioni vema kukulaumu kwa kuwa na mtazamo huu ingawa nina tofautiana na wewe kidogo tu, kwanza hilo suala la rais wa chama fulani kuteua waziri kutoka miongoni mwa wabunge wa vyama vya upinzani haliwezekani.
Nasema...
Unapoongea toa na mifano, Mnyika ni msikivu hapa ameshaona post yako lakini hajaelewa unataka kumwambia nini, dema sasa afanye nini zaidi au ndio nyie msiojua kupongeza kwa lolote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.