Kifua kinanisumbua.. Kinanibana mpaka nashindwa kupumua vizuri. Nimepiga picha ya X jana majibu ni kwamba moyo hauna tatizo ila kuna sehemu imetanuka kifuani kwa ndani. Wamenipa Dozi nitumie kwa siku tano then nirudi tena Hospitali. Kama kuna Dk hapa msaada wa maelezo
Mimi ambacho kimenishinda kabisa ni uonjaji wa Maji ya CHUMVI. Nimejitahidi kuacha lakini Najikuta ndio natopea kabisa.
NB: Nipo radhi niachane na mwanamke yeyote endapo atanikatalia hilo.
NITAKUPATA TU
SEHEMU YA 093
Hakutaka kuchelewa kumtafuta mzee Raymond kwa kuuhofia usalama wake. Kanuni ya kundi la mafia zilikuwa ngumu sana kitu ambacho alikiogopa sana. Ilikuwa ni lazima Aifanye Hiyo kazi. Ilikuwa ni lazima ampate Mzee Raymond. Kuchelewa kulifanya hilo na kusababisha...
[06-27, 19:38] Ibrahim Masimba: NITAKUPATA TU
SEHEMU YA 092
Wakati akiukaribia Mlango, akausikia ukigongwa. Akatulia huku mkono wake ukishuka mahala alipohifadhi Bastola. Bado mgongaji alikuwa akiendelea kugonga zaidi na zaidi. Bado hakuitika na bado hakusogea. Mgongaji naye akaongeza...
Kinachoniumiza ni wale Vijana wanaoendelea Kusota JKT tokea 2013 Bila kuajiriwa Huku Wakiongezewa Mikataba kila Wanapomaliza ya awali.
Ni wakati Wa Rais Magufuli Kuwaangalia Hawa watu. Masononeko yao ni Makubwa Mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.