Uzoefu wetu wa muda mrefu umetuonyesha pasipo shaka kwamba mambo mengi yanayotendeka Tanzania hayawezi kutendeka katika nchi nyingine.
Tanzania imekuwa taifa la ajabu na masikitiko yetu ni kwamba mporomoko wa maadili katika jamii yetu umeziba mitima na dhamira...
Ziara za CCM na mawaziri wa serikali ya JK ktk mikoa ya Kusini imekwisha. Lengo ilikuwa ni kuwapa darasa wananchi wafumbue macho ili wayaone maendeleo yaliofanywa .a serikali ya CCM. Yaani ilimaanisha wananchi kwa macho yao hawawezi ona mpaka macho ya Nape,Kinana na Mawaziri waje kutoa tuition...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.