Eti alitoa kauli zinazoenda kinyume na falsafa na itikadi za Chama???
Kauli za kuwasihi watu wapendane, wavumiliane bila kujali itikadi zao, waombeane... Hakika sioni kosa la mtu huyu.
Naanza kuamini katika Al badir.. Wallah
Huwezi kujenga chama au taasisi kwa kuwa neutral neutral.. Yaani huku upo kule upo. Hiki chama nakiona kama chama cha design hio.. Kinataka vyote, tena kwa mara moja. Kinataka kuonekana wapinzani na watawala at the same time.
Kwa namna hio naona ni ngumu sana kukua.
Popo ni Ndege au Mnyama??
Kwenye siasa mtu yeyote asie na aibu anaweza fit.
Mtu yeyote ambae leo anasema hivi na kesho bila aibu anasema kinyume na anahitaji kuaminiwa na kupigiwa makofi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.