Kumekuwa na maneno na hofu kutoka kwa baadhi ya Watanzania hasa baada ya Raisi Samia kufanya juhudi za kuurejesha tena uhusiano na Kenya ambao ulidhoofika sana awamu ya Tano.
Awamu ya Tano iliona Ni muhimu zaidi kuikumbatia Rwanda ya Kagame kuliko Kenya. Ikafikia wanyarwanda hadi wanakuwa...
Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Baada ya mama yake kuteuliwa, Ridhiwani anena
Thursday , 2nd Mar , 2017
Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwan Kikwete amefunguka baada ya mama yake jana kuteuliwa na Rais Magufili kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ridhiwan Kikwete amesema kuwa mama...
" hakuna chakula cha Serikali. Kama huli chakula ufe tu. Fanyeni kazi, huo Ndio ukweli." - Rais John Pombe Magufuli Leo tarehe 2/3/2017 saa 7:53 Nangurukuru, Lindi (source: Zitto Kabwe fb)
Habari leo pia wameripoti habari hii "Amesema, hawezi kuwaeleza maneno mazuri kwamba hakuna atakayekufa...
Ruttashobolwa said
Moja ya tarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii jioni ya leo February 7 2017 ni kuhusu Polisi Dodoma kumtafuta kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe ili wamkamate.
AyoTV na millardayo.com imempata Kamanda wa Polisi Dodoma...
Maaskofu wahojiwa kuhusu unyanyasaji wa kingono Australia
Saa 8 zilizopita
Mshirikishe mwenzako
Image caption Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani papa Francis
Maafisa wa kanisa lenye ushawishi zaidi la Katoliki nchini Australia wataanza kufika mbele ya tume maalum inayochunguza unyanyasaji...
karibuni mwenye update arushe
Simba imeshinda mechi hiyo kwa magoli matatu kwa bila
===========
Full Time : Majimaji 0 - Simba 3
88' Laudit Mavugo anafunga goli la 3
63' Said Ndemla anaifungia Simba goli la 2
Kipindi cha pili kinaanza sasa
Mapumziko sasa: Majimaji 0 - Simba 1
19' Salum...
Amejenga kilometer za barabara kuliko rais yeyote katika historia ya Nchi hii. Amejenga shule za sekondari kuliko rais yeyote katika nchi hii. Amejenga vyuo vikuu vingi kuliko Rais yeyote katika nchi hii (udom, mloganzila,katavi, Butiama etc.
Aliimarisha uhuru wa kujieleza na demokrasia kuliko...
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na...
Japo mie ni mwana CCM, lakini nimesikitishwa sana na kauli hii ya Fredy Mpendazoe katika mkutano mkuu wa CCM Dodoma kwamba ukitaka kuepuka nzi warushie kibudu. CCM iliwaondoa wale waliokuwa wanaleta harufu mbaya kwenye CCM.
Hapa bila shaka alimlenga mhe Lowassa, kiukweli sikuipenda kabisa, hata...
Waziri wa Elimu nchini Tanzania, Prof. Joyce Lazaro Ndalichako atoa msimamo wa Serikali juu ya wanafunzi waliofukuzwa chuo kikuu cha Dodoma, leo jijini Dar es Salaam, ambapo amesema kuwa kati ya wanafunzi zaidi ya elfu saba waliokuwa wamedahiliwa na kuanza Chuo Kikuu Dodoma ni wanafunzi 382 tu...
Mhariri mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Frank Sanga na mwandishi wake, Elias Msuya wameitwa na polisi kuhojiwa kuhusu makala iliyochapishwa na gazeti hilo kuhusu utendaji wa jeshi hilo.
Wakati Msuya alipigiwa simu jana na kuhojiwa leo asubuhi kuhusu makala aliyoandika, Sanga ameitwa leo na...
Azam tv kipindi hiki imekuwa ni zaidi ya chombo cha umma. Hata kama Magu anakwenda Hazina lazima Azam wawepo, nananufaika na lipi? na kwanini TBC isifanye kazi hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.