Hahaha be positive, usikariri Mambo ya watu wanayosema..judge by your own...Makonda kijana wa watu Ana shida gani..Mh Rais kamwamini kumuweka pale..bado mapema sana kuanza kulipuka lipuka..
Tanz ya Leo nadhan inahitaji hii kwata ili isonge mbele..tuache unafiki..kwa hiyo tunaelekea pazur..Mungu atusaidie manake Kuna watu wanafanya mchezo na nchi yetu..
Nadhan jomba kama alikuwa na makandokando hayo zama hizo, basi inawezekana amejirekebisha..Makonda huyu wa Sasa tunayemuona ni mtetezi wa wanyonge...ukitaka kujua uliza wananchi wanaonaje..usiwe mjinga ikabaki na ma assumption yako ya miaka 47 jomba..jua Sasa umeshapitwa na wakati
Anaharibu wapi, acheni kudanganya watu nyie... Msimtishe Mh Rais wetu bila sababu. Mnadhani wenyewe hamjui vizuri. Tatizo, bana, mafisadi yakishaona kuna hali ya hatari, yanaanza kujitengenezea barrier ya kutoguswa. Hata kama anatembelea nyota na Magufuli, kuna tatizo gani? Wakati katika nyota...
Si kweli jomba Mimi naona hapa mfumo uko vizuri na huduma inapatikana..wewe utakuwa na tatizo la bando au simu yako si simu..kiswaswadu nacho eti unatumia kuangalia mtandao..uliza kwa wazoefu wakuelekeze jomba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.