Salaam kwenu,
Wengi wenu ambao ni wapenzi wa kufuatilia fursa, hasa katika mambo ya ujenzi jina VIGUTA litakuwa si geni kwenu. VIGUTA wamafanikiwa kujitangaza kama mkombozi wa wananchi katika ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa gharama ndogo sana. Hasa baada ya uamuzi wa serikali kuhamia Dodoma...
Mi niliagiza gari toka kwao mwaka juzi na sikupata shida, gari lilifika bandarini (nilipata) ndani ya mwezi mmoja bila tatizo,na nilikuwa nalitrack kupitia kwenye website yao (wanatoa username na password). Niliweza fuatilia toka tarehe ya kuli load kwenye meli. Na pia tarehe walosema meli yenye...
Heshima mbele wana JF,
Nahitaji Document Feeder ya photocopier Canon IR 2520 (DADF-AB1 for Canon IR 2520).
Ningependelea kupata mpya, naomba mwenye nayo anijuze naipata kwa bei gani ifikishwa Dar. Unaweza ni pm.
Ahsante!
Nashukuru sana kwa huduma ya michango ya mawazo, ushauri na ufumbuz inayotolewa katika jamvi hili imetusaida wengi!
Naomba nami nisaidiwe kwa hili:
Nini gharama ya kujenga flat yenye kuweza kuwa na units sita (mbili chini, mbilikati na mbili juu) kila unit iwe na bafu/choo mbili ikiwa ni...
Ni kweli kabisa, japo mi ni member mgeni wa kujiunga ila nimekuwa nikiitembelea hii forum muda mrefu, nimeona watu wengi wanapoona wanatumia majina mbadala wanatumia hoja za nguvu na kauli ambazo kwa mtazamo wangu ni hatarishi na zinawaweka ma mods pabaya.
Hivyo nina shukuru Mkuu kwa kutujuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.