1.Nitajielimisha kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote.
2. Injili takatifu inasema "Mshike sana elimu usimuache aende zake"
3. Mafundisho ya uislamu yanasema "Kutafuta elimu ni jambo la lazima kwa Kila muislamu wa kiume na WA kike"
Elimu elimu elimu
Asanteni
Mkuu dindilichuma naomba kufahamu yafuatayo.
1. Ada na michango mingine kwa kozi ya certificate in library and information studies ni kiasi gani?
2. Ada hiyo inalipwa kwa awamu ngapi? NA awamu ya kwanza inatakiwa kulipwa kiasi gani?
3. Je naweza kulipia ada za unit mbili kwanza nikazisoma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.