Usijali ndugu yangu nchi imerudi mahali pake na kwa wenyewe walamba asali na kila mtu ni bosi na hakuna watakao wafanya chochote.
yaani hili Taifa iko siku itaenda chto kwenye kaburi la Magufuli kuomba msamaha maana haya mambo enzi za uhai wake yalikuwa hayasisiki kabisa na mgomo wa mwisho...
Kwa watu Ambao hawajawahi kufika na kufanya kazi Chato na kata zake Kasenga mpaka kata ya Bongera ni maeneo Ambayo yanapakana na pori la Burigi NADHANI NI UAMUZI WA BUSARA KUANZISHWA KWA HIFADHI HIYO MAANA PALIKUWA NA UHARIBIFU MKUBWA WA MAZINGIRA na hata majangili na wachungi Ambao ni wahalifu...
Nimeisoma nikiwa nimetulia sana na yote yanayosemwa ni ya kweli tupu na ndiyo maana nimeona baadhi ya wanawake humu wamekasirika na hawapendi kuona tunajifunza mambo haya.
Shukrani Kwa mleta mada maana Mimi sikuwahi kuisoma natafuta namna ya Ku save.
Huyu jamaa hana file zuri sana na huwa anajisia kuwashinda kesi makao makuu alipokuwa amesimamishwa maana aliposimamishwa alipelekwa Babati Manyara akiwa Inspector na kwenyewe alifanya madudu ya kutosha lakini akiwa makini sana bila kutiwa hatiani akapanda kuwa OCD monduli, Kiteto nk mpaka...
Mi siwezi kusahau jinsi kikwete alivyomwaibisha Lowasa kwa kuzuia mafuriko na MKONO, KAMATI KUU WAKAZUIA KWA VIDOLE NA HATIMAYE WANANCHI TUKAZUIA NAFURIKO NA KUCHA TUKAMPATA RAIS WA WANYONGE
Mkuu wewe unaielewa siasa ya bongo na disco malapaa la mtoto wa mjini J K maana wanaojua kufuatilia mambo kwa makini na kuyambua tulikuwa tunajua wazi kuwa nani atakuwa Rais wa nchi hii ila kuna watu ambao walijitia ukichaa ndani na nje ya mitandao wakiamini membe atakuwa Rais au Lowassa huku...
Una akili za kutosha ndugu yangu Ila hawa malofa na manyumbu hayawezi kukuelewa kama alivyo mwenyekiti wao tapeli aliyehamishia hela ughaibuni akisubiri uchaguzi wa damu halafu yeye na familia wasepe. MCC kwendeni zenu na hela zenu za Freemason. Mungu ametupa Mali za kila aina tutazitumia...
Ni kweli kamanda ila sidhani kama ni maamuzi ya Esterpeke yake bali inavyoonekana ni marlekezo kutoka uongozi wa juu maana yeye mwenyewe anaonekana kama haridhiki na hali hiyo.
Kinachokera hapa ni kuona baadhi ya watu wananitukana kwa kulizungumzia suala hili wakati hii ni nchi ya ki demokrasia.
Kama mlitaka kusuhisha kwenye vikao vya ndani yale makelele na matusi mliokuwa mnajaza hapa halmshauri na kuwaita baadhi ya vijana wa bodaboda ilikuwa ni kwa ajili ya nini? acha kutumia masaburi kuongea badala ya kinywa.
Nisaidie kuwaelewa kamanda maana hali ilivyokuwa masaa mawili yaliyopita hali ilikuwa mbaya maana hapakuwa na heshima ya demkrasia na haikuwa siri tena na baadhi yao walitaka kushikana pale karibu na maegesho ya magari
Katika hali isiyo ya kawaida kikao cha madiwani kimevunjika huku baadhi ya madiwani wakitaka kushikana mashati wakipingana kile wanachokiona kuwa ni utaratibu mbovu wa uchaguzi baada ya kutaka kupitisha jina la mwenyekiti wa halmshauri ambaye siyo chaguo la madiwani bali ni maelekezo ya mbowe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.