Katu halikubaliki Mbatia huwezi kumdharirisha mgombea wetu Lowasa, wewe umjibie maswali kama nani? kwani umesikia Lowasa hawezi kujieleza kama anavyofanya kwa sasa akiwa jukwaani, kaa utambue yale ni mapozi tu na hawezi kutumia nguvu nyingi au kutumia muda mrefu kuhutubia wakati anajuwa wazi...
Lowasa kwa misifa! hata Dully Sykes akasome, maana hata kuvaa gwanda hataki anajiona atafanana na mgambo wa kijiji!, Lowasa punguza misifa bana yaani hata kushika mic unapohutubia hutaki mpaka wakushikie?? acha misifa bana wewe huna hadhi ya kuwa rais wa nchi hii!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.