Naunga mkono hoja, Polisi ni watu wa hovyo kupata kutokea.
Nakumbuka mnamo mwaka 2018 hapa Mbeya nilijipata nikiwa urafiki uchwara na polisi mmoja tena mbaya zaidi jamaa yupo kitengo cha uchunguzi wa makosa ya jinai (CID). Aisee jamaa alinisababishia matatizo makubwa sàna ikiwemo kuniletea...
Hapo mwisho ungemalizia kwa ku declare interest kuwa wewe ni mwanayanga ingeleta maana zaidi kuliko porojo ulizojaza hapo, andiko lako limejaa chuki dhidi ya simba SC. Hakuna kitu kwenye mpira kinaitwa makosa ya kibinadamu (Ignorance of the law is not an excuse) kayoko amekuwa na maamuzi yenye...
Pole mkuu, hakika ni jambo linalofikirisha sana naomba niungane na wadau waliosema yawezekana ana psychological issues hivyo njia pekee kwa hili tatizo ni kuongea na wabobezi wa haya mambo ila itachukua muda pia kukaa sawa
Ukweli mchungu ni kwamba kuingia kwenye mahusiano/ndoa na mtu asiyeweka...
Niwajulie hali wanajamvi
Kama kichwa cha habari kinavyochokoza mada. Nianze kwa kutoa pongezi kwa serikali kwa juhudi za kuwezesha elimu ya ujuzi kwa vitendo kupitia vyuo vya VETA ambao umesaidia vijana/mabinti wengi kujiajiri, ila kwa hili linaloendelea kwenye chuo cha VETA Dodoma halikubaliki...
Pole sana mkuu kwa hiyo changamoto na nikutie moyo tu kwamba mtihani humfika auwezaye,
Mwaka juzi binti yangu mwenye miaka minne sasa alithibitika ana tatizo la sickle Cell anemia, Nililazimika kufanya kipimo hicho baada ya kuona anasumbuliwa na homa za mara kwa mara na mbaya zaidi ni maumivu ya...
Sijui inamilikiwa na nani ila ni moja kati ya taasisi ya fedha yenye riba kandamizi kwa walaji,
Nimesoma baadhi ya maoni ya wachangiaji hapo juu wakiwalaumu wakopaji kwa kutosoma na kuelewa vigezo na masharti kabla ya kuchukua mkopo na wengine wameenda mbali wakiwabeza whanga kwamba walikimbia...
Habari za majukumu ya ujenzi wa taifa,
Kumekuwa na mjadala hapa uliokosa majibu kutokana na uelewa tofauti wa mafundi.
Tumepata kigugumizi juu ya gear box oili gani inafaa kwenye gari aina Premio ( 1,490 cc) japo hili tumelipatia ufumbuzi kwa kuangalia deep stick lakini utata umebaki kwenye...
Ndio maana swali langu la kwanza nilihoji, je mleta uzi anaijua historia ya huyu dogo? Namaanisha shughuli inayomuingizia kipato tungeanzia hapo ndipo tuishauri serikali.
Kwa ufupi sana Majaliwa hana historia ya uvuvi yeye sio mvuvi na pale mwaloni kazi yake kubwa ni kibarua wa kuanika na...
Mleta uzi si ajabu ni mhanga wa kuzungusha bahasha za kuomba ajira
Hebu tupunguze ujuaji kwenye mambo yenye tija, hivi umemfuatilia vizuri huyu dogo na kuijua historia yake? Una uhakika kijana ni mvuvi? Na naona wengi wanakejeli dogo kwenda kuajiriwa ili hali kutwa tunailaumu serikali kwamba...
Wafuasi wa Yanga akili zap haziko sawa hili jambo aliwahi kulisema msemaji wao kipenzi, Wameingia kwenye mtego wa Manara kipuuzi sana. Jemedari hana shida na Yanga ila huwa ni msema ukweli kitu ambacho Manara hapendi hivyo amewatumia hawa mapopoma kuwaaminisha kuwa Jemedari anaichukia yanga na...
Ukitaka content wafuatilie football analyst, ikumbukwe Baraka ni football commentator kazi yake kubwa kuripoti matukio yanayoendelea wakati huo wa mchezo hayo mambo ya historia,sijui ukanda mara huyo mchezaji bibi yake alipigana vita ya majiamaji pale sio mahala pake, Baraka is on his prime let...
Usalama wa pesa zako ni suala la msingi sana usiyumbishwe na hizo figure za interest rate, ni kweli benki nyingi sana sasa zina changamoto kubwa sana ya liquidity ratio hivyo zinahitaji deposit za kutosha ila trust me hakuna benki itakupa hiyo rate ya 13%. Nakushauri nenda Absa bank kwa hiyo pes...
Ukiyasikiliza vizuri malezo/hoja za lusinde utangundua kuwa zitto anetumika tu kama kivuli ila kuna pahala alikuwa anafikisha ujumbe mahususi kwa wanaomsema vibaya hayati, ikumbukwe Lusinde ni mmoja ya wale waliofiwa haswaa
Ubarikiwe sana kiongozi kwa ufafanuzi yakinifu nakushukuru sana, naomba kufahamu utaratibu wa kisafiri na huyu kijana yeye anatakiwa kuwa na IDs zipi? Je na hizi chanjo nae zitamhusu pia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.