Kuna siku nimepita ule mtaa wa idrisa nikaelekea magomeni kupitia studio dah madogo vi homboy unaokutana nao mpk unaowaonea huruma wanavotambiana smartphone wakina wamevaa vibukta na vichen shingoni
habari wanajamvi
Kumekuwa na tabia inayonishangaza sana hasa maeneo ya mjini ambapo utakuta mtu anayejiita daktari wa tiba asilia akidanganya wananchi wengine kuwa anatoa tiba na mara nyingi utakuta amekusanya watu katikati ya barabara mfano hii msimbaz road na uhuru road mpaka maeneo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.