mkuu haiwezikani china wakashusha bendera kwa ishu ya zanzibar ila kwao kuna tukio lililogongana tareh na kwetu, bendera ya nchi ikipepea nusu mlingoti au ikishushwa jua dunia nzima bendera hiyo ilipo inafanywa tukio moja.
weweee, kitu kipo mbezi kwa msuguli kuna jamaa anaitwa bwashee ni nomaaaa, kabla ujakata kona ya kwenda kanisani roma jilani na mama lanya tunakipandiaga gari
Ila mwambie asife moyo bado Membe anaweza kuwa raisi wa Tanzania, kwa sababu watanzania tuna ushabiki wa kijinga na wa vyama, ukichanganya na ukosefu wa Elimu kwa watanzania wengi (USISAHAU KWAMBA MTAJI MKUBWA WA CCM, ni ujinga wa watanzania. Hata hivyo Membe ili agombee, si mpaka apitishwe...
Vizuri anavyo lopoka na yale mabilioni ya downs walipwe, waendelee kuuwa ili wakati ukifika ushaidi upatikane wanyongwe, mkapa na maita tiali ushaidi upo waliuwa znzibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.