Hana kipya kwa sasa, hana habari hot kama zamani, sikuizi kaonekana wa kawaida kama Mh Mrema, upepo umebadilika anatamani kusifia hawezi, anabaki kuwa mshauri na kuhamasiha machafuko
Wakati mwingine unapojenga hoja lazima uwe unafikiri sana, ngoja tukupe somo maana inawezekana hujui
1. Si kweli road lincese inalipwa Mara moja, road linces inalipwa kila mwaka tena Kwa mkupuo
2. Pili road lincese inalipwa kila mwaka hata kama Gari alitumiki bado litadaiwa hivyo kuiondoa...
Unaweza sikia kitu ukaenda kukifuatilia kwa sababu wakati unakisikia ulikuwa ujui lkn katika kusoma kwako ukawa hujaelewa nakushauri nenda tena kasome na usikilize alichokisema mwakembe ni sahihi au si sahihi lkn ili kukusaidia ukirudia kusoma bado ukawa unaona mwakembe alikuwa wrong tafuta mtu...
Lkn kingereza sasa mama anaweza kama wenje, aisee wenje ni nomaaa yaani anapiga ngeli anaweza ongea yule mjaluo wakenya wakaunga mkono wakizani ni mkenya mwenzao
Umeandika kitu kizuri lkn umekosa maarifa ya kisheria, kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu haipelekei kurudi kwenye uchaguzi labda kama Rais akatae kuchagua waziri mkuu mwingine na kuamua kulivunja bunge hapo ndo tutarudi kwenye uchaguzi mwingine, lkn kama watapiga kura ya kutokuwa...
Ambapo ki msingi ni jambo jema kuendeleza mazuri ya kimaendeleo yaliyobuniwa na mtangulizi wake na sio kubishana na wapumbavu wachache wanaotaka apoteze focus ili wao wajichukulie umaarufu
Watanzania hatutafika mbali kwa sababu ya kutokuwa wazalendo ndo maana mtu anaweza akaandika nonsense kama hii bila hata kujishtukia, ushauri wangu tujifunze kuappreciate hats kidogo sio kupinga kila kitu ili uonekane ww ni mpinzani tu
Mtu pekee atakae itetemesha ccm ni JPM mwenyewe kuamua kuachia urais na kuamia upinzani bila scenario ya namana hiyo ccm will remain a ruling part forever
Watu bwana kwa kubwata bwata, yaani magufuli hatokuwa hana jipya kwasababu ya kutokagua cheti cha makonda, kuwa serious bhana kuna vitu vya msingi hapa nchini kuliko issue ya makonda kuwa amesoma au hajasoma
Hivi kwani ukuu Wa mkoa kisheria mtu anatakiwa awe na elimu gan? Maana watu msije mkawa mnabakabaka mambo wakati inawezekana kisheria ni kujua kusoma na kuandika ndo kigezo
Zitto bhana, eti nae kasoma uchumi, yaani unataka Rais avunje bunge turudi katika uchaguzi, kwa manufaa ya nan? Yaani turudi kwenye uchaguzi wakati unajua wagombea na watakaoshinda uchaguzi 90% watakuwa walewale wenye msimamo uleule, nakushanga bro ni bora pendekeza njia nyingine sio njia hiyo...
Uchaguzi mdogo ni uchaguzi mdogo tu, point namba 7 haina mashiko, uchaguzi mdogo hauna impact kwenye wabunge Wa kuteuliwa,
Kingine labda waliojiudhulu wasigombee tena maana kunaweza kuonekana kwa wananchi kwamba upinzani umeamua kuchezee Pesa za walipa kodi
Kutatokea internal conflict coz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.