Well nimeisoma yote, umeandika mengi. Mimi naomba nifafanue nini tatizo la kilimo Tanzania
1. Siyo vyote vinavyovunwa vinafika sokoni. Hatuna utaratibu wa kumsaidia mkulima apate soko.
2. 40% mpaka 60% ya mazao Tanzania haswa matunda yanaharibika. Hizi data nilipewa na specialist wa kilimo.
3...
Hahahahaa.
Mi siyo UVCCM, sina chama. Angalia mada zangu. Mbili zimefutwa jana.
Moja ilimnukuu Lissu alivyosema Magufuli ni Fisadi !! Na nyingine ikihoji kama TCRA wameshakaba jamii forum.
Ndo hali halisi ya mahusiano yetu na Kenya. Magu kawabana p..u!
Kale kamgogoro cha Tanzania na Kenya ka ndege za kenya kuzuiwa tz na watz kulazimishwa kukaa quarantine wakiingia Kenya umeisha!!
Sasa Kenya airways itaanza safari za Tanzania.
Kenya exempts Tanzanians from mandatory quarantine | Nation
Uchambuzi wangu.
Magufuli anajua dada yake Uhuru ni...
Siyo sahihi kila mtu akisema changu ni changu hatutakuwa na fungu la kuendesha nchi. Kuwa na maliasili pekee haitoshi swala ni mnazitumia vipi hizo maliasili
Nimeona sasa imeanza hoja ya kuzungumzia pendekezo la Lissu kuhusu serikali za majimbo. Kwanza kabla sijazungumzia hilo ningeanza na kufafanua changamoto zilizopo za kuleta maendeleo majimboni.
Watu wanaoishi kwenye majimbo ndio wao pekee wanaweza jua kwa undani matatizo yao na yapi muhimu ya...
Naona wanaolipwa na CCM kupotelezea hoja ndio wameshtuka sasa kuhusu huu wosia unaotoa tahadhari juu ya amani ya nchi.
Kwa jinsi mlivyokurupuka kujibu ghafla leo kwa kweli mmetumwa.
Soma mara mbili nini nimeandika kabla hujaropoka pumba!!
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Ningekujibu ila sitaki kukupa strategic plans za chadema. It is obvious what they are doing. Jiulize mgombea mwenza yuko wapi?
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Malemo, kama upo karibu na chadema washauri Mbowe, Na mgombea mwenza nao wafanye kampeni tofauti. Angalieni ccm walivyosambaa. Kumbukeni mnashindana kufikisha ujumbe ili mkubalike. Wote watatu wasikae kwenye mkutano mmoja.
Other wise hii ni taarifa nzuri kusikia wanapiga kampeni tatu kwa siku...
Chadema wakati nyie mnapiga kampeni mtwara, Magufuli, Mama Samia na Majaliwa walikuwa wanapiga kampeni sehemu tatu tofauti.
Kwa kifupi ccm wamehudhuria watu wengi kwenye mikutano mitatu kuliko kwenye mkutano mmoja wa chadema.
Chadema mkishindwa huu uchaguzi siyo kwa sababu mna sera mbaya; bali...
Bila kuandika mengi, CCM watakipata wanachokitafuta Zanzibar. Wamesahau jukumu la Waislam katika kuitetea haki kama wanavyoamriwa na dini.
Wamesahau dini inasemaje kuhusu yule anayejitoa mhanga kuokoa wanaonyanyaswa. Waliuwawa 2001 wakanyamaza. Wamefungwa viongozi wao wa dini wakanyamaza...
Paskali,
Pamoja na busara zako unajifanya kusahau kuwa Tanzania mbunge hana nguvu ya nini kifanyike jimboni mwake. Hela ya matumizi inapitishwa ikulu.
Magufuli alishasema, sitaleta maendeleo kwa ambao hawajanichagua.
Duniani kazi kuu ya mbunge ni kuiwajibisha serikali na kuhakikisha sheria...
Chadema, unafahamu msemo wa ukipewa milimita chukua kilomita! Hii ni nafasi nzuri sana. Itumieni ipasavyo. Hizo dakika 30 fanyeni yafuatayo:
Ziendelezeni cheche za kwenye kampeni - yale mabomu ya Lissu anayowapiga CCM yarudieni kwenye TV na radio kila mtanzania asikie. Udini, ukabila, ukatili...
Chadema. What is wrong with you. Huo muhtasari ni taarifa ya fedha inahusiana nini na ilani ya kampeni?
Nishasema anayesimamia kitengo cha habari au watendaji wake wanakihujumu chama.
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Ya kufukuzwa TBC imewapunguzia chadema sehemu ya kutoa taarifa. Ukweli unabaki TBC walichakachua mno taarifa za chadema na hawawatendei haki. Hivyo sidhani kama TBC wanastahili huruma.
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Hii nimeandika kwenye makala ya pili ya hasira. Chadema vitu vingine wanafanya utafikiri hawako serious na kushinda huu uchaguzi.
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.