Je, ni haki kisheria familia yangu ya mke na watoto inishtaki ikidai mgao wa pesa unaotokana na shamba la urithi la ekari 20 nililouza? nilipewa shamba hilo ukiwa ni urithi wangukutoka mali ya marehemu baba aliyefariki mwaka 2007.
Wakati nalirithi shamba hilo nilikuwa nikiishi na mke wangu na...
Kwa mfano mimi bwana X kama nilifungua shauri la mgogoro wa shamba No. 2/2016 dhidi ya bw Y katika baraza la ardhi na nyumba la kata ya Ibisabageni wilaya ya Sengerema nikashindwa kesi lakini nikakata rufaa No. 4/2017 katika baraza la wilaya ya Geita ambako nilishinda.
Lakini bw Y baada ya...
Kwa namna hali ilivyo na inavyoonekana uchaguzi mkuu wa Rais na Wabunge wa 28 Oktoba 2020 kwa namna unavyoonekana utakuwa ni uchaguzi ambao wapiga kura wataongozwa na mambo makubwa mawili wakati wa kupiga kura yao.
1. Kuna wapiga kura watakaopiga kura yao kwa chuki ya kuuadhibu utawala ulioko...
Kwa kweli shule nyingine zinajitakia matokeo mabaya bure, hii shule ya sekondari ya Taqwa imeweka utaratibu wa kulipa karo kwa awamu mbili ya mwezi Januari na Julai wakati wa kufungua shule.
Kitu cha ajabu na kinyume cha utaratibu wao na tunaoujua, leo hii 2 May 2018 wamewafukuza wanafunzi...
Katika chaguzi za ndani za CCM huku mikoani, rushwa imekuwa ikitolewa wazi wazi na sidhani kama maofisa wa TAKUKURU walikuwa hawayaoni haya.
Nadhani maofisa hawa wa mikoa na wilaya hawako commited katika jambo hili katika kumsaidia mheshimiwa Rais kupigana vita ya rushwa.
Kwa wenye kujua mahali kuna maticha wazuri wa kufundisha tyusheni ya masomo ya Physics, Chemistry na Biology ya kidato cha 5 na 6 katika jiji la Mwanza wakati wa likizo naomba wanifahamishe.
Sikutegemea kama haya ninayoyaona katika shule ya Ngudu high school ningeweza kuyaona yakifanywa katika awamu hii ya Rais Magufuli.
Ya waalimu walioko mazoezi (field) kutumia muda wa kuanzia saa 11 jioni hadi saa 2 usiku na wakati mwingine muda wa kazi na katika majengo ya shule kufundisha...
Hivi karibuni wizara ya elimu ilitangaza tarehe 30 Aug 2017 kuwa siku ya mwisho ya wanaoomba kujiunga na vyuo vya elimu ya juu kujisajili.
Wakati huo huo ka
una wanafunzi wa diploma wanaotegemea kufanya mitihani ya marudio (supplementary) kuanzia katikati ya mwezi Septemba 2017 na kuendelea na...
Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mwanza Anthony Diallo yuko kwenye nafasi mbaya kisiasa, kimaisha, kibiashara na hata kimahusiano na jamii.
Baada ya kituo chake cha matangazo cha Star Television kutiwa kufuri za nyororo na TRA kwa kuidai kampuni yake zaidi ya shilingi 4.5bn, Diallo amefikwa na...
Naomba taarifa za Ngudu high school kwa wanaoifahamu kijiografia na taaluma kwa ujumla wake.
Nimechaguliwa kujiunga hapo kidato cha tano kwa comb. ya PCM kwa mwaka huu wa masomo.
Pia ningependa kujua kama ninaweza kubadili comb hiyo nikachukua PCB ninayoipenda badala ya hiyo PCM na utaratibu...
Hivi sasa Tanzania iko ndani ya vita ya ajabu ya pande tatu. Kuna Clouds Tv wanaolalamikia kitendo cha mkuu wa mkoa Paul Makonda kuwavamia usiku akiwa na polisi na wanaodaiwa ni wanajeshi au TISS, uongozi wa Clouds umefungua kesi mahakamani.
Kuna upande wa pili wa waziri wa habari, sanaa na...
Mwaka jana serikali ya Marekani ilikiri na kuomba msamaha kwa kosa ililofanya kwa kutekeleza kimakosa adhabu ya kifo kwa watu wawili.
Rais Obama alikiri kwamba kitendo cha jeshi la Marekani kuishambulia Libya na hatimaye kumuua Rais wa nchi hiyo Muammar Gaddaf hakikuwa kitendo cha haki kwa...
Kuna baadhi ya shule binafsi (English medium) hapa jijini Mwanza zimetoa masharti ya kulipa kati ya tshs 85,000 na 100,000 kwa ajili ya picha na usajili wa mitihani ya taifa ya kidato cha pili mwaka huu.
Kibaya zaidi baadhi ya shule zimeanza hata kuwafukuza wanafunzi ambao hawajalipa karibu...
Naomba nipewe ufafanuzi kuhusu hizi risiti zinazotolewa na mashine za kielekitronik za EFD ambazo hufutika baada ya muda mfupi.
Kwa mfano nilikuwa na shauri katika mahakama ya wilaya, cha kushangaza baada ya shauri hilo kumalizika na kufungua madai ya gharama nilizotumia kuendesha kesi hiyo...
Vitabu vitakatifu, Quran na Biblia vyote vinasema Mungu wakati wa mwanzo wa uumbaji wake, aliumba mbingu na nchi (dunia).
Kuna jambo moja linalonisumbua kwa muda mrefu ambalo ningependa wajuzi wa elimu ya dini au yeyote mwenye uelewa anipe majibu.
1. Kama Mungu aliumba mbingu na dunia (nayo ni...
Nilistushwa sana na sikuamini kauli aliyoitoa profesa Joyce Ndalichako kuhusu masharti yake mapya kuwa kuanzia mwakani hataruhusu mwanafunzi yeyote kujiunga na masomo ya shahada ya chuo kikuu bila kupitia na kufaulu kidato cha sita.
Kuanzia pale nilianza kuona dalili mbaya na chafu ya wateule...
Wakati Rais alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari ikulu ya Dar es Salaam wiki iliyopita, aliwaambia watanzania kupitia kwa wahariri hao kwamba ataanzia kuwashughulikia waharifu pale alipoishia mtangulizi wake. Hii ndiyo maana halisi ya kauli yake kwamba hatayafukua makaburi ya zamani.
Ebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.