Habari za jioni ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.