Kwenye mto uliojaa mamba na viboko,ilitokea attempt ya mamba kumla mtoto wa kiboko akaishia kumjeruhi vibaya.Walichofanya viboko kulipiza kisasi maji ya mto yaligeuka damu.Mamba mmoja alipigwa jino la maana akawa vipande.Jino la kiboko ni refu kama mpini wa jembe
Habari wadau!
-Kuna mtu yoyote amelima alizeti mbegu ya Hysun 33 msimu huu?
-Kama yupo/mpo mnaweza kuleta ushuhuda wa matokeo mliyopata ili na wengine wajifunze.
-Pia kama una matarajio ya kuvuna kiasi kikubwa,soko la uhakika lipo,nitakuunganisha na wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili zako zimeishia hapo?umeambiwa Korea kaskazini ni inchi ya kikomunisti.hakuna vyama vingi vya siasa.Sasa Tanzania ni inchi ya kilomunisti?.soma vzr uelewe kabla ya kukimbilia kupost jambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.