Nilikuwa najiandaa kuandika hivi. Huyu jamaa ana nguvu za giza au pepo, anapoongea na mlengwa pepo hili linamuingia mlengwa na kumpumbaza akili na hivyo kujikuta anatii kila anachoambiwa, ni sawa na wale wezi ambao ukikutana nae akikuongelesha tu unampa hela na chochote anachokihitaji baadae...
Simba imekuwa na bahati mbaya ya kukutana na finalists=the best team at KO stage.
msimu uliopolita tulitoka kwa GD-1, msimu huu GD 0. Naiona Simba ikivuka robo msimu ujao iwapo tutafanya marekebisho kidogo na iwapo tutaepuka kukutana na the likes of Ahly, mazembe. Ni sawa na uefa ukikutana ko na...
Ingekuwa nchi za wanaojielewa kwa kauli hii ya udhalilishaji kwa wanawake huyu mpuuzi asingekuwa na kazi na sasa hivi wadhamini wa yanga wangekuwa wanachomoka mmoja mmoja. Yanga mlipotoka sana kumpa ajira huyu boya. Activists na waandishi wa bongo hawana akili ya kuliona hili
Nimeshauri sana namna bora ya kugawanya maeneo kwa kuzingatia shughuli za kiuchumi, huko wanaangalia maslahi ya kisiasa kwanza mfano mtu anajua hawezi kushinda ubunge ikiwa anatokea kata/kabila minority kwahiyo analeta ajenda za kuwanywa jimbo ili tu aupate huo ubunge. Matokeo yake program za...
Sitaki kuamini hii taarifa na kama ni kweli basi kuna upigaji mzito usio na chembe ya aibu. Timu yangu ya simba sitaki kabisa kuamini hizi figure. TFf oneni aibu tokeni mkanushe hizi habari haraka
Kama mwigu na janu 2015 walipiga machata nchi nzima tena kwa spray ya rangi ya mafuta na mpaka leo 2021 machata yao bado yapo na hawakuchukuliwa hatua yoyote zaidi ya kupewa nafasi za juu katika nchi basi na huyo muhindi apongezwe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.