Dear members.
I am urgently looking for two candidates to work as quality control chemist in a soft drink manufacturing firm .
Qualification: Bsc. Food Science and Technology
Fresh graduates highly recommended.
Just PM for more details.
Qu
Salaam.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, anatafutwa mtu wa kufanya kazi mwenye taaluma ya Food Science and Technology awe anaishi Dar.
Maelezp zaidi pm.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashapatikana mtu tayari.
Asanteni
Salaam wanajamvi, ni matumaini yangu mko wazima wa afya mkiendelea na mihagaiko ya kila siku kwa ajili ya kujipatia mkate.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza ninaomba mwenye uelewa na hawa watu wa CRYPTOCURRENCY TANZANIA aweze kutumegea kidogo kuhusu ufanyaji wao wa kazi nimefuatilia kwenye...
Masada wana jamvi ni brand ipi ya battery ya gari kwa sasa ambayo iko imara na itaweza himiri kusukuma woofer 1000 watts bila tatizo?
Nilikuwa natumia acdeldo N40 ila naona ishakuwa kimeo.
Tafadhali nipate brand pendekezwa pamoja na bei elekezi.
Asante.
Salaam wana jamvi,
Nina rafiki yangu wa karibu sana ambaye yeye na mke wake wana changamoto ya kutopata mtoto kwa zaidi ya miaka tisa sasa.
Hospitali wameenda na hakuna mwenye tatizo lakini, kwa siku za karibuni kumekuwa na kukosekana maelewano baina ya hawa wenzi wawili ambapo tatizo hasa ni...
Habari zenu wana jamvini?
Naomba kuuliza je ni simu zote zenye kutumia windows haziruhusu huduma kama za mpesa, sim banking au ni simu yangu tu?
Na kama ni zote haziruhusu ni kwanini?
Tafadhali naomba kujuzwa!
Naomba kujuzwa mawasiliano ya wakala wa bidhaa za sony hapa Tanzania maana nimetafuta pasipo mafanikio au kama kuna mtu anajua bei ya SONY DAV TZ-130 BRAVIA kwa hapa Tanzania anaweza kunisaidia. Asanteni.
Kwa wale wafuatiliaji mambo ya bunge hivi ni nani ameudanganya umma kuhusu mitaala ya elimu Tanzania?
Mbatia aliyesema nchi haina mitaala na kama ipo apewe ili ajiridhishe? au ni Dk. Kawambwa aliyesema mitaala ipoa ila akashindwa kuipeleka mbele ya bunge mara moja alipotakiwa kufanya vile na...
Nawatakia maandalizi mema ya mitihani ya mwish wa muhula wanasua wenzangu Mungu awe pamoja nasi ili tuweze kuyakumba yale tuliyojifunza kwa ajili ya kujibia mitihani yetu.
Wadau ratiba ya conference tayari iko hewanin hivyo iangalieni kwenye net ili maandalizi yaanze mapema mimi nawatakeini maandalizi mema Mungu awe pamoja nasi katika SEMINA hii.
Kwa wamasuaso napenda kuwatakia maandalizi mema ya mitihani ya mwisho wa mwaka wa masomo 11/12 itakayoanza jumatatu tar 2 july, tumwombe mungu atupiganie tuwe wenye afya na pia tuweze kuyakumbuka yale tuliyosoma. All the best.
Wasuaso wenzangu nawatakieni maandalizi mema ya mitihani ya kumaliza semester inayoanza jumatatu tar 20 feb ni matumaini yetu wote kwamba mungu atatenda kadri ya uwezo wake najua ni kipindi kigumu lakini yote katika yote ni mmoja tu awezaye kutupa ushindi. All the best
Yapata miezi mitatu sasa tangu walimu tarajali wapate matokeo yao lakini cha kushangaza ni kwamba serikali imekuwa kimya kabisa kuhusu suala la ajira zao au ndo mambo kama ya bodi BUDGET EXHAUSTED ?
Hivi utaratibu wa boom kwa mwaka huu inakuwaje wakuu, tunatupiwa kwenye hizo akaunti zetu au ni foleni kama first year? naomba MWONGOZO wale ambao tayari mshafungua vyuo maana naona siku zinakata na salio hakuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.