Maneno ya hekima na busara ndiyo tunayoyahitaji hapa jf , hili ni darasa nawaomba muache kukejeliana / kudharauliana na kutusiana ili tupeana mwanga wa ufahamu ulio mzuri .
Nawashangaa wanaopiga kelele katika hili , hiyo ndiyo Ccm na hiyo ndiyo kazi yako tokea iasisiwe . Mliokuwa hamjui leo yamewafika ndiyo mnapiga kelele . Hakika kweli mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.