Serikali inafanya makusudi kuuwa makampuni ili wafaidike. Suala la TTCL kutokufanya vizuri inajulikana na sio kukosa uongozi bali ni wakubwa kuwa na share kwenye makampuni mengine.inaleta conflict of interest
Habari za kuaminika ni kwamba atakaerithi mikoba ya jk 2015 ni sophia simba. Huyu mama ni shujaa na mpenda maendeleo sana. Ukimzingua anakupa za kichwa kwahiyo wadau tuanze kumkampenia ili apite bila kupingwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.