Tatizo hawajibu hoja za msingi!!!!!!!!Kupanda kwa gharama wao hawaoni kama ni issue..Wamejisahau..nchi inayumba kweli kweli!!kila mtu ni msemaji wa serkali...
nchi inayumba kwa sababu hakuna ccm imara....tufanyeje????
Mnasikia wewe na nani?Mie nipo mwanza tena mjini kabisa na sija sikia hizo habari!!!
chamsingi ni Serkali kutatua shiza za wananchi!!na sio kutafuta nani ana toa pesa kwa chadema!!!Serkali ijubu hoja za chadema ...
Sifa za kugombea ubunge Jamhuri ya muungano wa Tanzania hizi hapa;
Sifa za mgombea Ubunge
Awe raia wa Tanzania
Awe na umri wa miaka 21 au zaidi
Awe ni Mwanachama na ni Mgombea iliyependekezwa na Chama cha Siasa
Awe hajatiwa hatiani na Mahakama yoyote kwa kosa la kukwepa kulipa kodi katika...
Hao viongozi wa CUF walowekwa ndani waliwekwa na nani?na waliwekwa ndani wakitetea nini ?na je wamesha pata walichokuwa wanadai?
Wamechukua hatua gani kama walionewa?na kama hawakuonewa kwanini walivunja sheria kwa makusudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.