Wasanii wa Tanzania siku hizi hakuna kitu na sio kama zamana ambapo msanii alikuwa kioo cha jamii .
Mziki ulikuwa wa zamani siku hizi ni njaa tu zinawasumbua.
Mimi leo nilikua kituo flani cha afya nikiwa na Mgonjwa wangu pale nikaulizwa na Nurser wa zamu kuwa umeisha agiza boda aje kumpeleka mgonjwa wako nyumban maana alikuwa ameruhusiwa kuondoka nikamwambia kuna gari basi dada wa watu kachanganyikiwa mara ohh niachie hela ya jojo da hawa viumbe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.