Sasa tunakaribia mwisho wa matokeo na ni dakika yoyote toka sasa tutapewa ratiba ya kumwapisha JK, sio mbaya sana kwasababu amejiona yupo katika nafasi gani ndani ya mioyo ya watanzania, amejiona amefulia kwa kiasi gani, hii ni changamoto kubwa sana kwa CCM, inaweza ikasaidia wao kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.