Wala usijali, na siku zote huwa nakuelewa vyema unapoandika, sema tu huwa natafakari hisia zako, tuendelee kujenga nchi, kweli exposure ya watu kusafiri nje haijabadili viwanja vyetu kwa speed inayohitajika.
Sema Barafu huwa una hasira sana na mamlaka sijui walikufanya nini, ila jambo moja sio tempo wote walikosa weledi au kuwa na ndugu pale, dhana mbaya ni ile mamlaka kukaa na hawa vibarua zaidi ya miaka kumi, kosa si la mkurugenzi mpya bali utawala uliopita, kisheria sijui mtu anatakiwa afanye...
Natumia Samsung A5 nikipiga namba zilizopo kwa phonebook yangu naambiwa sina salio, ila niki dial namba ambayo haipo kwa phonebook (contacts) simu zinatoka fresh, sasa sijui ni settings zipi hapa ambazo zinakorofisha?
Ni kweli mie nimepigiwa simu jana asubuhi, mie niliomba nafasi ya mtakwimu tena tunaanza na written udsm computer lab sema kama kuna mtu nae yupo aniambie jina la hiyo room pale udsm pia kama mtu ana experience ya written anipe dondoo au format maana mzigo wa takwimu una wigo mkubwa sana!
Basi haina shida kinachobakia dawa ya deni ni kulipa acha wafanye kazi ya kuwaweka wadaiwa kwenye mabango maana hamna namna nyingine watu wanabadili namba zao za simu haya masanduku ya posta wachache sana wafatiliaji acha waweke watu wapeane habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.