Jamani ni mwazo tu wa mabadiliko, lazima Watanzania waamue kuchukua hatua bila ya uoga kudai haki Yao.
Tunavyo zadi kuchelewa tutatawaliwa na watoto wa MAFISADI eg rith1 nk....
Twendeni mahakamani ingawa sidhani kama wataheshimu haki zetu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.