Search results

  1. F

    Mtazamo wa jaji warioba na jaji mkuu kuhusu chadema

    Kwa wale mnaofuatilia habari, jana warioba alipoulizwa kuhusu mtazamo wake juu ya chadema kutoka nje ya bunge alisema'' kutoka nje wakati MTU mmoja anaongea siotati'' na hata hivyo chadema hawajakiuka kifungu chochote cha kanuni za bunge,vile vile Jaji mkuu nae alisema kwa jinsi anavyo fahamu...
  2. F

    Kilichotokea wakati chadema wanatoka nje ya ukumbi wa bunge

    Mimi nashangaa,hivi niwakati gani mtu anapigiwa makofi bungeni au kugonga meza,na kitendo cha kupiga makofi bungeni kinaashiria nini, mimi ninavyofahamu nikwamba kitendo cha kupiga makofi bungeni kinamaanisha kuunga mkono au kukubaliana na jambo linanlo jadiliwa,au kinamaanisha kumkaribisha...
  3. F

    Faida za kusifiwa kisiasa

    bila shaka unapokuwa na unajivunia kitu flani lazima kiwe kinakusaidia na kukuwezesha kupata maendeleo.sasa tz tunaambiwa tunaamani tena ya muda mrefu tu,lakini leo Rwanda tukicheza nao mpira wanatufunga,hali kadhalika DRC sasa faida ya kuwa na amani ikowapi,kama hata katika michezo tunashindwa...
  4. F

    6 vs sisiem

    Kama sitta uliweza kutetea hoja zako wakati wa hayati mwalimu na ukalambwa viboko pale ikulu wakati ukiwa mwanafunzi wa udsm,sasa unashindwa nini kuondoka ccm na kuonyesha misimamo yako? usogope kutetea ukweli na kusimamia haki kwa kuhofia kuonekana msaliti, tena wakati ule hapakuwa na vyama...
Back
Top Bottom